Mke wangu hataki iphone

Yaani iphone ya mio plus, kweli we bogazi kama ni kweli mkeo kaona huna forecasting ya mpunga wako,


Afu iphone sio simu Kali we nawe sijui wa njia panda ya Tinde kama Mimi
 
Mkeo anaakili kukuzidi wew! Kihalisia iphone 12/13 ni kama google pixel 4xl (haswa kwa nyie mnaonunua bland tu na hamna matumizi maalimu)
.
Kwaiyo fanya kama alivyokwambia amekusaidia sana
 
Hataki kutoa jicho moja ili apewe macho matatu?
 
Shule mnafungua lini?
 
Wanaume wamebaki jina tu. Hata hili usaidiwe hapa JF ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…