Mke wangu hataki iphone

Eliud Bunju

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
375
Reaction score
707
Habari wakuu
Nilijichanganya kumwambia wife kwamba nataka kumnunulia iphone 12 pro ebhana ehee amekataa anasema hio hela Bora tuingize kwenye biashara anataka simu isiyozidi 300,000/=

Naombeni ushauri wenu wakuuu.
Msinione bogazi wife wangu nampenda sana nilitaka nimpe zawadi ya simu kali sasa yeye hataki.
 
Nipe mimi
 
Hizi mada za kijinga hizi nazo za kushirikisha watu hizi? Inaonekana umezidiwa akili na mkeo!
 
Umeoa Uchaggani au Upareni? Hakuna haja ya simu inayozidi 200,000/- hata kama mna pesa kiasi gani.
 
Kama hataki sisi tumsaidieje au ulitaka Watu wajue kuwa una Pesa na unampenda sana Mke wako?
 
kwahyo haifoni 12 ndio simu kali au sio...........
 
Kama hii sio chai basi wewe ni miongoni mwa mabwege ya kiumeni,hudhuria vikao kenge!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…