Unamtumza lakini, je hana malalamiko yoyote je unamjali? Mwanamke ni complex kidogo kujua shida zake wanaficha sana kama anakupenda lakini, je mna watoto au mtoto pia mwanamke akizaa huwa hamu ya tendo hupotea kwa maana hormone zinapungua mwilini zile za hamu ya kufanya tendoHabari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Habari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Wee mkomalie wife akupe haki yako bwana...ameolewa for the sole purpose ya kukupa wewe burudaniHabari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Eboo! Hamu ya sex inapungua baada ya kuzaaa....sasa hii sii majanga jamani.Unamtumza lakini, je hana malalamiko yoyote je unamjali? Mwanamke ni complex kidogo kujua shida zake wanaficha sana kama anakupenda lakini, je mna watoto au mtoto pia mwanamke akizaa huwa hamu ya tendo hupotea kwa maana hormone zinapungua mwilini zile za hamu ya kufanya tendo
Lakini wanasema wanawake wa kwenye ndoa wanamnyima mume ili wapendwe zaidiDah nafikiri hili ni tatizo kwa wanandoa walio wengi....nafikiri mukizoena napo huwa amshamsha inapungua
Umeongea kinyumehata mm demu wangu yuko hvyo
lakn nliwah kusikia kuwa wengne ikitokea kama hawajazaa wanakuaga hvyo ila wakishazaa wanabadilika wanakua na hamu sana
Hana hisia na wewe sio kwamba hana hisia za mapenzi. Wewe sio mtu aliempenda au niseme mtu anaemvutia ktk hilo tendo ila una mazuri yako yaliyomvutia mfano huchepuki, unajua kulea familia, unapenda watoto, mtu wa kuishi vizuri na watu n.k.
Wanawake ni watu wa ajabu sana usijiaminishe kuwa hana mtu au hachepuki, kila mwanamke awe ndoani ama lah ana mwanaume ambae hawezi kumsahau maisha yake yote aidha alimpenda au alikuwa na hisianae sana.
MhHana hisia na wewe sio kwamba hana hisia za mapenzi. Wewe sio mtu aliempenda au niseme mtu anaemvutia ktk hilo tendo ila una mazuri yako yaliyomvutia mfano huchepuki, unajua kulea familia, unapenda watoto, mtu wa kuishi vizuri na watu n.k.
Wanawake ni watu wa ajabu sana usijiaminishe kuwa hana mtu au hachepuki, kila mwanamke awe ndoani ama lah ana mwanaume ambae hawezi kumsahau maisha yake yote aidha alimpenda au alikuwa na hisianae sana.
Mkeo kuna kitu kinamsumbua kichwani.Habari wakuu,
Ninaishi na mke wa ndoa na tuna watoto ila mke wangu sijui niseme ni uvivu au kukosa hamu ya tendo.
Kila mara mimi ndio huhitaji kufanya tendo na mara nyingi hunipa kuniridhisha ila yeye ni mara chache kuwa na hamu na kuanzisha kutaka kufanya tendo lenyewe.
Mimi sio mtu wa kuchepuka lakini kwa hali kama hii kidogo itapelekea kutafuta msaada nje maana hata nikipewa napata bao 1 ambalo hamu haziishi.
Nimeshafuatilia sio kwamba anachepuka hapana ila tu sijajua ni hisia zake ziko mbali au ni kwann hapendi sana kushiriki tendo la ndoa.Hakuna sababu ya msingi anayotoa labda huenda na yy hajioni kama ana tatizo labda anaona yuko sahihi au yuko sawa.
Au labda mimi nahitaji tendo mara nyingi zaidi sijui,maana mimi nina uwezo wa kufanya hata kila siku nikipewa na kwa namna ninavyompenda na hisia nilizonazo kwake ni vigumu kulala nae bila kuomba game.
Kwa wazoefu kama kuna ushauri na maoni namna ya kusaidia ili tufurahie tendo takatifu la ndoa.
Natanguliza shukrani
Assnte sana mkuu.Sawa, hilo tatizo kama ni la siku zote.
Jaribu kubadili namna wewe na mkeo mnawasiliana
Then kama unataka game mwandae mapema, chat zako au maongezi yako yawe ya kimahaba. through out
M'bembeleze hata kwa kitu kidogo tu.(jitahidi).
Na siku unapiga mambo hakikisha unamwandaa vyakutosha.
Mwanamke ukimwandaa vizuri lazima akitupie.
Wakati unafanya usiache kumsemesha. Msifie isifie K' yake ongea hata uongo ila uwe romantic.
Anapaswa kufurahi ili mara nyingine atake tena.
Wake za watu huwa wanaliwa kirahisi kwasababu kuna mambo waume zao hawafanyi na hii ni nature.
Narudia tena, mwandae mapema kabisa.
Mtie mshawasha tokea mchana.
Asipochange sasa uingie ndani zaidi ujue hilo tatizo lake la kihisia linasababishwa na nini.
AsanteKingine tumetofautiana kiwango cha sex drive. Kuna wengine kiasili tu hawana mzuka na sex au baada ya muda wanapoteza interest kiasi cha kutoipa umuhimu mkubwa katika maisha yao.
Nimeongezea tu ili mtoa mada na wengine wanaochangia, wasidhani kila mtu anawaza na kuipenda sex 24/7
Najitahidi kutunza,watoto wapo.Unamtumza lakini, je hana malalamiko yoyote je unamjali? Mwanamke ni complex kidogo kujua shida zake wanaficha sana kama anakupenda lakini, je mna watoto au mtoto pia mwanamke akizaa huwa hamu ya tendo hupotea kwa maana hormone zinapungua mwilini zile za hamu ya kufanya tendo
Asante sanaKama nyuma hakuna na tabia hizo kuna mawili.
1- kakuchoka,hivyo analeta mazoea
2-kapata mwengine ,kuna jamaa anamshughulisha Acha kujipa moyo.
Ushauri.
Kila binaadam anatabia ya kuchoka hasa kama akiwa katika mazingira yaleyale....hivyo siku moja mtoe out mpeleke hotelin ukamzagamue huko....tuw na tabia ya kubadilisha mazingira.....
Hakua hivyo mwanzo.Mkuu, swali ni moja?
Je. Kabla hajazaa alikua hivyo hivyo au baada ya kuzaa?
Na kama hakuwa hivyo mwanzo na alipozaa akaanza kutumia uzazi wa mpango hasa njia ya kuchoma sindano au kuweka kijiti basi hapo ndo tatizo lilianzia.
Hizi njia za uzazi wa mpango zina side effects nyingi kwa wanawake na moja wapo ni kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa.
Fuatilia hilo, then Reverse it by abstaining those Contraceptives.
Sent from my SM-G998U using JamiiForums mobile app
Haanzi ikitokea ni mara moja moja sana labda niwe nilisafiri nikarudi.Issue ni kwamba huwa akuanzi kuonyesha ana Hamu...!?
Ama hapenzi kufanya Mapenzi!?
Ama hata umuanze hana ile hamsha hamsha!?
kwann mkuu nipe uzoefu wakoUmeongea kinyume
Kuna mawili. Kama humtaki, chepuka na uende. Ila kumbuka, huko uendako wanachotaka si wewe,bali kilichopo mfukoni mwako. Ila kama unamfili insaidi, we chukua mda wako mchunguze. Utajua. Kuna mawili:Najaribu kufuatilia bado sijagundua hilo jambo
Sasa, unadhani akimpeleka hotelini atapata nini? Atalala vile vile tu. Kwa hayo mawili uloyataja,kuna asilimia kubwa za ukweli. Sema tu inaonekana jama hakuwa baharia. Vinginevyo asigekuwa njiapanda. Hapo siku tatu zinatosha kujua unae au ni msanii tu.Kama nyuma hakuna na tabia hizo kuna mawili.
1- kakuchoka,hivyo analeta mazoea
2-kapata mwengine ,kuna jamaa anamshughulisha Acha kujipa moyo.
Ushauri.
Kila binaadam anatabia ya kuchoka hasa kama akiwa katika mazingira yaleyale....hivyo siku moja mtoe out mpeleke hotelin ukamzagamue huko....tuw na tabia ya kubadilisha mazingira.....