malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 2,781
- 2,727
- Thread starter
- #81
Watoto hawana shaka wote copy yangu kwakila kituNa nyongeza pia,,Jitahidi kuwachunguza hao watoto watatu Mungu aliowajaalia kuwapata,,Je?NI wako Wote??
Watoto hawana shaka wote copy yangu kwakila kituNa nyongeza pia,,Jitahidi kuwachunguza hao watoto watatu Mungu aliowajaalia kuwapata,,Je?NI wako Wote??
Mama sikai nae tuko mbali mbali mji mmojaLakini ukweli ni kwamba.....
Hakuna mwanamke ambae anapenda kukoseshwa uhuru wa ndani mwake na mwanamke mwenzie haijalishi huyo mwanamke ni nani.
Lakini pia mkeo ni mwanamke mpumbavu mkuu, hapo unashughuli pevu mbeleni.
Na mwisho, mkeo ana tabia mbaya sana kuyatoa maneno ama mambo ya ndani kwenu nje ya nyumba yenu.
Minaona huyo mke mnawe, lakini nawewe fanya namna upate maarifa ya mama yako akaishi maisha tofauti na kwako.
Ndio sijakata ndio maana nimesema kwasababu kila mtu anataka utawala mwingine juu ya mtoto wake mwingine juu ya mume wake.Hata wazazi hawawapendi wakwe zao pia.....mjitahidi kubalance mzani
Kivipi tajiriNimepata mteja amefika bei nzuri(an offer that i couldn't refuse) easy kusema nimewauza 😂😅🤣😂😅🤣
Hili bifu ni natural hata kwenye maandiko lipo..... Nadhani ni wivu kila mtu anauhitaji upendo wa mwanaume na kila mtu anaona ana haki 100%Ndio sijakata ndio maana nimesema kwasababu kila mtu anataka utawala mwingine juu ya mtoto wake mwingine juu ya mume wake.
Kwaiyo ww kwako mkuu mke akosee sms ije kwako sms yakumkashifu mama Yako mzazi utaacha ni mambo yakike tuAcha kufatilia mambo ya kike mkuu we mwanaume ujue aahhhh!!
Kwa kuuliza anasumbuliwa vipi na kwa nini anasema libibi lina roho mbaya. Lazima kuna sababu. Ni kwa kumsikiliza tu ndio utajua tatizo wapi. Kama tatizo liko kwake atakuheshimu kwa kumsikiliza na kumtendea haki. Kama wazazi wako ndio wenye matatizo, atakuheshimu kwa vile atajua kuwa unamjali. Kwa namna hii, badala ya kukimbilia kwa mashoga na ndugu zake tatizo likitokea, atakuja kwako kwa sababu atajua kuwa wewe ni mtu wa haki.Sasa mkuu ww mzazi wako akashfiwe labda mfano tu labda mzazi wako aambiwe linasumbua sumbua hili libibi linaroho mbaya nalicheck tu nasura yake pasono linajiskia...unampa mtu huyo nafasi ipi yakumsikiliza
Nipo kimbinyiko...Nimepata mteja amefika bei nzuri(an offer that i couldn't refuse) easy kusema nimewauza 😂😅🤣😂😅🤣
SaUwaaWatoto hawana shaka wote copy yangu kwakila kitu
Poor brain sasa 😂😂😂😂😂Umewatag halafu unasema afanye juu chini wasiuone😁
🚮Kwaiyo ww kwako mkuu mke akosee sms ije kwako sms yakumkashifu mama Yako mzazi utaacha ni mambo yakike tu
Mungu huwa anawaumbua sana....hahahaMke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.
Pointi ni zile zile......Mama mzazi anaona Mwanaye alihangaika kumlea anayefaidi ni Mwingine, Mke naye anaona Kama Mama anamwingilia maslahi.Point ni ile ile, LIKE CHARGES REPELS, UNLIKE CHARGES ATTRACTS EACH OTHER.