Mke wangu hampendi mama yangu mzazi

Kuna mstari mwembamba sana Kati ya ww na mke wako ww umeleta yake humu ila yy kachukua ya mazaako kapeleka kwa dadaake!

Ondoka kwenye hyo zone mmekusanyana wote ndugu zako na ndugu wa mkeo mtaishia kusemana tu
 
Ongea nae,umuulize ni kitu gani hasa kinamsumbua,jaribu kutafuta chanzo cha tatizo hilo,lakini nikuulize kitu wewe unajuaje kiwa huwa anachati na hao dada zake?
pia ni vizuri uwaite hao dada zake na muongelee jambo hili kwa pamoja,utapata ufumbuzi wa suala hili,maisha ni kusameheana
Najuaje sisms anakua anamtaja dada yake...mfano aseme hivi...asha huyu mama mkwe anavituko hapo sikataja jina la dada yake
 
Mama yako yuko sawa??
Isijekua hiyo familia nyote mna majanga maana yako tayari yameonekana hapa, ya mkeo na mzazi wako ndo bado hebu mcheki na maza ako pia huenda anamkosea kweli mkeo.
 
Ww jamaaa ngoja nikuweke ignore list maana ushatuona wana jf ni watoto wenzako. Kila siku unaleta mada za aina moja. Kwahiyo ni wewe tu ndio mabaya yanakukutaga hapa duniani?
Mkuu siujaandamwa namabalaa muombe mungu..nikama mtoto anaezaliwa ktk utajiri familia Bora mpaka anakua anazeeka maisha safi so huwez mlaumu ambae hajawaha namaisha safi mazur kisa ww hukupita huko
 
Kabla yakumuoa hakua nahizi tabia nimekua nae ktk mahusiano kwa miaka3 kabla yakumuoa
Keshapata waharibifu mashoga au muathirika wa hizi tamthilia.
Huwa anapenda kutazama hizi tathmlia hizi ni programs maalumu toka kwa wazee wa suti ili kuharibu ndoa.
Mjenge kisaikolojia mwambie bila mama asingekujua,pili na yeye atakuja fanyiwa hivyo hivyo na wanae hivyo asipande mbegu itakayomrudia kama wa kuelewa ataelewa.
Kiasili wanawake hawapendani.
Anza kuidhibiti mapema.
Fanya hima mama yako mzazi au dada zako usiwaambie kuhusu ili watainua vita dhidi ya mke wako itasambaratisha ndoa yako wanawake hawana uhimilivu.
Mjenge kisaikolojia ili kuua hiyo roho chafu.
 
Anakua nikama ameenda kusalimia kwetu analala uko siku mbili au tatu Sasa ktk hizo siku so yanayoendelea hapo ndo anakua anamuhabarisha dada yake anamuhabarisha kwa ubaya na chuki ndo sms anajikuta kaisend kwangu
Tatizo ni kuwa hautaki kuangalia kama anachosema kuhusu wazazi wako kina ukweli. Msikilize vizuri na kama kuna ukweli tajuta njia ya kuwaambia wazazi wako ili wabadilike au mwambie avumilie tu kwa sababu hauwezi kuwabadilisha wazazi wako. Anaongea nje kwa sababu anajua hautamsikiliza. Wazazi sio malaika.

Amandla...
 
Na wewe jidai umekosea kutuma meseji alaf mtumie ukijidai una mwanamke mwingine andika hivi "Halima mpenzi wangu nataka kumuacha Mke wangu nikuoe wewe maana yeye hapendi wazazi wangu"
 
Na nyongeza pia,,Jitahidi kuwachunguza hao watoto watatu Mungu aliowajaalia kuwapata,,Je?NI wako Wote??
 
Habar wakuu, mimi ni baba wa watoto wa 3, niko 35 mke 31, hapo awali miaka 4 nyuma wazazi walikua wakinambia tabia za mke ambazo ni za maneno na umbeya yaani anazungumza mambo yanayohusu wazazi wangu ndugu zake na mashost zake anazungumza maneno mabaya.

Sasa watu huhadithiana yanafika nikimuuliza anakataa. Inabidi nazungumza na namuelimisha namna maisha yalivyo.

Sasa bana kumbe tabia haikukoma, kumbe amekua akichat na ndugu zake hasa dada yake, chats za kusema wazazi wangu.

Mke wangu alishawahi kosea sms ikaja kwangu kama mara mbili sikusema chochote.

Majuzi asubuhi asubuhi nimekaa zangu kabla sijatoka home alikua anachat tu na sms zinaingia naskia anavochati

Kumbe anachat na dada yake bahati nzuri akakosea kusend sms moja ikaja kwangu akimhadithia dada yake jinsi mambo mabaya kuhusu mama yangu yaani hampendi.

Nawaza naona kama nimke ambae hanifai, alishawahi kuwekwa kikao kwa mambo haya lakini naona kama habadiliki uswahili roho mbaya vimemjaa.

Sasa mke alivyomnafiki ukimkuta na mzazi wangu wakike anavyoact kama kweli vile anamkubali.

Wakuu ushauri wenu.
Wengi wako hivyo hata usijpe shida ila tatizo ni kwamba wa kwako umejua kwa kukosea msg ila wanawake wengi hawawapendi wakwe zao wana act tu
 
Back
Top Bottom