Mke wangu atasababisha nife kwa kweli...

Mke wangu atasababisha nife kwa kweli...

🙁😡 Nimeumizwa na kuudhika sana na maneno ya mijanadume mingine humu ndani. inaonekana wengi hawajui mapenzi wanaendekeza mfumo dume tu na ubabe. mapenzi ni kuaminiana. namwamini na nampenda sana mke wangu. maisha ya sasa ni kusaiiana na kupeana mapenzi shatashata. sijaona ubwege wangu ni nini hapo.kumpenda?kumsaidia kazi?au kumwamini? acheni hizo msipende tu kuvamia ndoa za watu na kuwaona mabwege.

yeye ni malkia wangu, kwa nini nimtese?sipendi kumuudhi abadani. nlitegemea wanaume wenzangu pia mjifunze kuwapenda wake wenu.naona wengine mmenishukia.nimesikitia mpaka machozi yamenitoka...watu kumbe kweli wana wivu na hata yeye huwa ananambia wengi hawapendi maisha tunayoishi. wanataka kutugombanisha tuachane watucheke. bwege mwenyewe mi siyo bwege na wala sijalimbwatishwa kitu. mtu akisema amechoka hatak ufanya tendo la ndoa week mbili au 3 unamlazimisha? si ndo kubaka huko?

nimeumia sana kwa baadhi ya maneno ya watu. machozi yananitoka tu.
 
Nitakuwa wa mwisho kuamini hii 'hadisi'
 
Toka nimemuoa huu ni mwaka wa 2 nampenda sana kiasi hata yeye anajua kuwa kwake sipumui, sihemi yaani nakuwa kama fala tu. Kiukweli nilihangaika sana kumpata nimemfukuzia kama miaka 2 hivi siku moja kama ndoto akakubali basi tukaanza uhusiano ila aliniambia nisifikirie kabisa habari za kukamuana mpaka ndoa basi nikawa mimi nauza naye sura tu. Ananipigia simu nimpeleke au nikamchukue sehem fulani siku nyingine akiwa ana kunywa na rafikize wa kike na kiume then ananiambia nikamchukue naenda bila hiyana nampeleka kwake.

Kipindi chote hicho alikuwa akinitambulisha kwa rafikize kuwa mi ni rafikiye nilimuuliza why akanambia hatujawa wachumba so hawezi niita mpenzi wakati bado, ila nilikuwa naenjoy sana kuuza naye sura maana ameumbika sana huyu dada alikuwa anaweza nipigia simu hata saa nane usiku nikamchukue klabu naenda namrudisha kwao alikuwa anapenda sana kwenda klabu na rafiki yake anaitwa Benny. Huyu jamaa alikuwa rafiki yake sana na alinambia hamna wa kuwatenganisha urafiki wao mpaka leo huwa ananiaga anaenda kumsalimia Benny.

Sasa nimemuoa yaani napata unyumba wakati mwingine kwa week mara moja tu nami sipendi kumsumbua sana maana sipendi niichoshe sehemu yake ya siri tena nikipiga moja tu anasema basi anataka kulala mi mashine inakuwa bado inataka tena but siwezi mlazimisha, hivyo nakunywa mafuta ya taa hamu inaisha nalala siku nyingine anarudi amechoka sana ananambia nimletee chakula room ale akila anajitupa kitandani basi natoa vyombo na kusafisha meza tunalala hapo hataki hata nimkumbatie na kiukweli kukumbatiana nako kuna joto sana basi namwacha mke wangu mpenzi alale.

Mimi ntakufa tu kwa mapenzi maana nampenda huyu mwanamke acha kabisa salary yangu yeye ndo huenda kutoa nlimpa kadi ya bank na password alibadilisha akaweka anayoijua yeye tu ili nisiwe natoa hela halafu naonga michepuko so huwa anatoa kkisha ananipa kiasi ya nauli kwa mwezi. ananonekana ananipenda ana wivu sana. akirudu toka kwenye mizunguko yake huwa anaoga tu na kuangalia tv mimi inabid ndo nimwandalie kila kitu kwa jinsi tunavyopendana.

kuna siku alirudi amelewa tukalala naye akawa maskini anaota anamtaja benny nikamwonea huruma jinsi ambavyo analalamika kuwa benny anamuumiza afanye polepole ikabidi nimuamshe ili asiumie zaidi nikamwambia ndo akasema huyo benny alikuwa anamkuna mgongoni hivyo alikuwa anamwambia amkune polepole. basi ndo hivyo mapenzi yangu jaman na huyu mwanamke yamfika mlima kilimanjaro...yaani tunapendana kufa.
Hekaya za abunuasiii
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] bushoke
 
Umeshaliwa tena mchana alafu hiii movie ss tena bongo movie.... Peleka huko
 
Kuna siku atakwambia Benny kamuudhi sana hivyo anataka akutekenye rinda kwa ukucha wa bandia hasira ziishe.
 
Kweli wewe sudoku. Nimecheka sana lakini ghafla nikaangalia id yako nikabaini kuwa wewe ni Sudoku. Huenda anakufanyia kama jina lakoo
 
In Ojuelegba
They know my story
From Mo'Dogg studio
I be hustle to work eeeeh
Ni ojuelegba ooooh

I am feeling good tonight
This thing got me thanking God for life
Oh, I can't explain
I can't explain eh yea
Mkuu nimekuelewa sana!
 
Huko tunakoelekea, ukitaka kujua idadi ya wanaume itakuwa rahisi kama kuitisha roll call
 
Hadithi yako nzr ukileta part two ya kua ana mimba ya benny itakua vizur zaidi
 
Toka nimemuoa huu ni mwaka wa 2 nampenda sana kiasi hata yeye anajua kuwa kwake sipumui, sihemi yaani nakuwa kama fala tu. Kiukweli nilihangaika sana kumpata nimemfukuzia kama miaka 2 hivi siku moja kama ndoto akakubali basi tukaanza uhusiano ila aliniambia nisifikirie kabisa habari za kukamuana mpaka ndoa basi nikawa mimi nauza naye sura tu. Ananipigia simu nimpeleke au nikamchukue sehem fulani siku nyingine akiwa ana kunywa na rafikize wa kike na kiume then ananiambia nikamchukue naenda bila hiyana nampeleka kwake.

Kipindi chote hicho alikuwa akinitambulisha kwa rafikize kuwa mi ni rafikiye nilimuuliza why akanambia hatujawa wachumba so hawezi niita mpenzi wakati bado, ila nilikuwa naenjoy sana kuuza naye sura maana ameumbika sana huyu dada alikuwa anaweza nipigia simu hata saa nane usiku nikamchukue klabu naenda namrudisha kwao alikuwa anapenda sana kwenda klabu na rafiki yake anaitwa Benny. Huyu jamaa alikuwa rafiki yake sana na alinambia hamna wa kuwatenganisha urafiki wao mpaka leo huwa ananiaga anaenda kumsalimia Benny.

Sasa nimemuoa yaani napata unyumba wakati mwingine kwa week mara moja tu nami sipendi kumsumbua sana maana sipendi niichoshe sehemu yake ya siri tena nikipiga moja tu anasema basi anataka kulala mi mashine inakuwa bado inataka tena but siwezi mlazimisha, hivyo nakunywa mafuta ya taa hamu inaisha nalala siku nyingine anarudi amechoka sana ananambia nimletee chakula room ale akila anajitupa kitandani basi natoa vyombo na kusafisha meza tunalala hapo hataki hata nimkumbatie na kiukweli kukumbatiana nako kuna joto sana basi namwacha mke wangu mpenzi alale.

Mimi ntakufa tu kwa mapenzi maana nampenda huyu mwanamke acha kabisa salary yangu yeye ndo huenda kutoa nlimpa kadi ya bank na password alibadilisha akaweka anayoijua yeye tu ili nisiwe natoa hela halafu naonga michepuko so huwa anatoa kkisha ananipa kiasi ya nauli kwa mwezi. ananonekana ananipenda ana wivu sana. akirudu toka kwenye mizunguko yake huwa anaoga tu na kuangalia tv mimi inabid ndo nimwandalie kila kitu kwa jinsi tunavyopendana.

kuna siku alirudi amelewa tukalala naye akawa maskini anaota anamtaja benny nikamwonea huruma jinsi ambavyo analalamika kuwa benny anamuumiza afanye polepole ikabidi nimuamshe ili asiumie zaidi nikamwambia ndo akasema huyo benny alikuwa anamkuna mgongoni hivyo alikuwa anamwambia amkune polepole. basi ndo hivyo mapenzi yangu jaman na huyu mwanamke yamfika mlima kilimanjaro...yaani tunapendana kufa.

Haya
 
Back
Top Bottom