Sodoku Myebusi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2016
- 1,305
- 2,997
- Thread starter
- #61
🙁😡 Nimeumizwa na kuudhika sana na maneno ya mijanadume mingine humu ndani. inaonekana wengi hawajui mapenzi wanaendekeza mfumo dume tu na ubabe. mapenzi ni kuaminiana. namwamini na nampenda sana mke wangu. maisha ya sasa ni kusaiiana na kupeana mapenzi shatashata. sijaona ubwege wangu ni nini hapo.kumpenda?kumsaidia kazi?au kumwamini? acheni hizo msipende tu kuvamia ndoa za watu na kuwaona mabwege.
yeye ni malkia wangu, kwa nini nimtese?sipendi kumuudhi abadani. nlitegemea wanaume wenzangu pia mjifunze kuwapenda wake wenu.naona wengine mmenishukia.nimesikitia mpaka machozi yamenitoka...watu kumbe kweli wana wivu na hata yeye huwa ananambia wengi hawapendi maisha tunayoishi. wanataka kutugombanisha tuachane watucheke. bwege mwenyewe mi siyo bwege na wala sijalimbwatishwa kitu. mtu akisema amechoka hatak ufanya tendo la ndoa week mbili au 3 unamlazimisha? si ndo kubaka huko?
nimeumia sana kwa baadhi ya maneno ya watu. machozi yananitoka tu.
yeye ni malkia wangu, kwa nini nimtese?sipendi kumuudhi abadani. nlitegemea wanaume wenzangu pia mjifunze kuwapenda wake wenu.naona wengine mmenishukia.nimesikitia mpaka machozi yamenitoka...watu kumbe kweli wana wivu na hata yeye huwa ananambia wengi hawapendi maisha tunayoishi. wanataka kutugombanisha tuachane watucheke. bwege mwenyewe mi siyo bwege na wala sijalimbwatishwa kitu. mtu akisema amechoka hatak ufanya tendo la ndoa week mbili au 3 unamlazimisha? si ndo kubaka huko?
nimeumia sana kwa baadhi ya maneno ya watu. machozi yananitoka tu.