TOFU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2012
- 573
- 196
Habari zenu wanajamvi wenzangu.
Nimeoa askari polisi miaka miwili iliyopita, japo nilimkuta mwenzangu akiwa na mtoto wa kiume.
Kutokana na maelezo yake Baba wa mtoto wake ni Police tena mwenye cheo kikubwa tu
Walishawai kuishi nae ila alimiacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine na kupelekea kuachana
Ila uko alipooa hakuwai kupata mtoto mwingine
Hivyo basi jamaa uyo amekuwa busy na kumfatilia mtoto kulipa ada na garama za mavazi
Sina wivu ila najaribu kutaka ushauri kwenu nyie wakubwa zangu mlionizidi kwa kila kitu kuhusu haya mahusiano
Vile vile sina tatizo na mke wangu.
Tunaheshimiana Tunapendana lakini mwisho wa siku nahitaji kupata ushauri wa tahadhari ili baadae yasinikute
Naomba kuwasilisha ..
Nimeoa askari polisi miaka miwili iliyopita, japo nilimkuta mwenzangu akiwa na mtoto wa kiume.
Kutokana na maelezo yake Baba wa mtoto wake ni Police tena mwenye cheo kikubwa tu
Walishawai kuishi nae ila alimiacha na kwenda kuoa mwanamke mwingine na kupelekea kuachana
Ila uko alipooa hakuwai kupata mtoto mwingine
Hivyo basi jamaa uyo amekuwa busy na kumfatilia mtoto kulipa ada na garama za mavazi
Sina wivu ila najaribu kutaka ushauri kwenu nyie wakubwa zangu mlionizidi kwa kila kitu kuhusu haya mahusiano
Vile vile sina tatizo na mke wangu.
Tunaheshimiana Tunapendana lakini mwisho wa siku nahitaji kupata ushauri wa tahadhari ili baadae yasinikute
Naomba kuwasilisha ..