Za leo ndugu,
Nilikuwa na mke wangu tuu sio mwembamba sana ila wa kawaida, nilifanikiwa kumpa ujauzito sasa katika matunzo anayopata kwa wazazi wangu naona anazidi kufutuka tuu na makalio yanazidi kukua tuu na mimi sipendi makalio makubwa kabisa yaani napata shida sana,halafu amekua mvivu hata hatembei mita 30 bila kukaa.
Anajamba hovyo halafu hafui hata chupi zake, yani fulu matatizo na mtoto anakojoa tena yani sitaki kuishi nae, tena nakaa chumba changu peke yangu niwe msafi, kweli kidume siwezi inama wakati sketi ipo ndani na ina zaidi ya miezi sita, kule maeneo kushapona kabisa wala hamna maumivu yoyote kwa kweli sitaki vibonge.
Nipeni ushauri ndugu nimfanyeje kama ni kumpunguzia chakula hataki, anakula sana na siwezi kumwacha akafanye mazoezi wale wajanja wa kuchangamkia fursa wasije kufanya yao mwee sitaki mke wangu mrembo sana.