Mke wangu anashindwa kunimudu

Mashine yake imepitisha mtoto ndo wewe akushindwe kukumudu? Dogo ukitaka kuchepuka usitafute huruma za wachangiaji humu
Habari zenu wadau wa JF
Mimi ni kijana niliye ndani ya ndoa miaka mitatu(3)sasa na tumefanikiwa kupata mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 2 mungu ni mwema sana.
Nijiongelee upande wangu kiukweli nampenda sana mke wangu hua najitahidi kumtimizia yale ya msingi ambayo kila mwanamke wa kiafrika/Tanzania anahitaji kutimiziwa (Mavazi, chakula, makazi) na mengine mengi bima ya afya n.k.
Kwa upande wake naona ananipenda tu maana sijaona kama kuna tofauti yoyote kati yake na yangu.
Changamoto inakuja katika SEX/ Mapenzi sijisifii hua nikipanda juu sambamba na style/mikao mengine mke wangu anafika kileleni mpaka anaishiwa nguvu inafika wakati namuonea huruma nahisi ntampoteza mke wangu ilihali mimi bado nahitaji kufanya hii inepelekea hata nipunguze siku za kua tunafanya mapenzi/Sex siku tukifanya bado hali ni ile ile. Kiukweli sijafikiria kuchepuka kabisaa ndo mana nikaamua kuweka uzi huu hapa jukwaani nipate mawili matatu kutoka kwa wataalam/maexpati/wakongwe maana humu ndani kuna wajuzi waliobobea katika idara nyingi mbalimbali.
kwa upole kabisaa niikabidhi mada hii mikononi mwenu Wadau kwa ajiri ya maoni/ushauri
Karibuni sana
 
Mleta mada wewe ni Mvulana.
Habari zenu wadau wa JF

Mimi ni kijana niliye ndani ya ndoa miaka mitatu(3)sasa na tumefanikiwa kupata mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 2 mungu ni mwema sana.

Nijiongelee upande wangu kiukweli nampenda sana mke wangu hua najitahidi kumtimizia yale ya msingi ambayo kila mwanamke wa kiafrika/Tanzania anahitaji kutimiziwa (Mavazi, chakula, makazi) na mengine mengi bima ya afya n.k.

Kwa upande wake naona ananipenda tu maana sijaona kama kuna tofauti yoyote kati yake na yangu.

Changamoto inakuja katika SEX/ Mapenzi sijisifii hua nikipanda juu sambamba na style/mikao mengine mke wangu anafika kileleni mpaka anaishiwa nguvu inafika wakati namuonea huruma nahisi ntampoteza mke wangu ilihali mimi bado nahitaji kufanya hii inepelekea hata nipunguze siku za kua tunafanya mapenzi/Sex siku tukifanya bado hali ni ile ile. Kiukweli sijafikiria kuchepuka kabisaa ndo mana nikaamua kuweka uzi huu hapa jukwaani nipate mawili matatu kutoka kwa wataalam/maexpati/wakongwe maana humu ndani kuna wajuzi waliobobea katika idara nyingi mbalimbali.

kwa upole kabisaa niikabidhi mada hii mikononi mwenu Wadau kwa ajiri ya maoni/ushauri
Karibuni sana
 
Huna lolote dogo unataka kuambiwa chepuka.

Yaani hujaoa pa kupata ushauri mpk Uje humu kwa wazinzi?!?!
Unafikiri wanaJF watakushauri la kulinda ndoa yako? Kwa taarifa yako wataleta majimwambafy ya uanaume yasiyo na maana hapa.

Ndoa na iheshimiwe. Heshimu ndoa yako.

BTW mwanaume anayejisifia kufanya tendo la ndoa brobably ana tatizo la kisaikolojia

Du black anajimwambafy tu. Mi juzi nimechukua baamedi fulani kwenye gesti fulani. Sikuwa na mudi kabisa lakini kaniharakisha mara nawahi kwenye sherehe sijui nini. Kila unapomshika hataki na denda kakataa. Matokeo yake "'mzee' akakataa kabisa. Pamoja na kuwa na tako lakini alikuwa na bonge ya mshono tumboni' thus even more disgusting....
 
Habari zenu wadau wa JF

Mimi ni kijana niliye ndani ya ndoa miaka mitatu(3)sasa na tumefanikiwa kupata mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 2 mungu ni mwema sana.

Nijiongelee upande wangu kiukweli nampenda sana mke wangu hua najitahidi kumtimizia yale ya msingi ambayo kila mwanamke wa kiafrika/Tanzania anahitaji kutimiziwa (Mavazi, chakula, makazi) na mengine mengi bima ya afya n.k.

Kwa upande wake naona ananipenda tu maana sijaona kama kuna tofauti yoyote kati yake na yangu.

Changamoto inakuja katika SEX/ Mapenzi sijisifii hua nikipanda juu sambamba na style/mikao mengine mke wangu anafika kileleni mpaka anaishiwa nguvu inafika wakati namuonea huruma nahisi ntampoteza mke wangu ilihali mimi bado nahitaji kufanya hii inepelekea hata nipunguze siku za kua tunafanya mapenzi/Sex siku tukifanya bado hali ni ile ile. Kiukweli sijafikiria kuchepuka kabisaa ndo mana nikaamua kuweka uzi huu hapa jukwaani nipate mawili matatu kutoka kwa wataalam/maexpati/wakongwe maana humu ndani kuna wajuzi waliobobea katika idara nyingi mbalimbali.

kwa upole kabisaa niikabidhi mada hii mikononi mwenu Wadau kwa ajiri ya maoni/ushauri
Karibuni sana

Ki ujumla hayo uliyoyataja si kwamba ndiyo mahitaji muhimu ya mwanamke. Upendo na kumjali ni vitu vya muhimu kuliko uyasemayo.
Sasa kwanini kukomoana? Kuku ni wako manati ya nini?
 
hauna tofaut
Habari zenu wadau wa JF

Mimi ni kijana niliye ndani ya ndoa miaka mitatu(3)sasa na tumefanikiwa kupata mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 2 mungu ni mwema sana.

Nijiongelee upande wangu kiukweli nampenda sana mke wangu hua najitahidi kumtimizia yale ya msingi ambayo kila mwanamke wa kiafrika/Tanzania anahitaji kutimiziwa (Mavazi, chakula, makazi) na mengine mengi bima ya afya n.k.

Kwa upande wake naona ananipenda tu maana sijaona kama kuna tofauti yoyote kati yake na yangu.

Changamoto inakuja katika SEX/ Mapenzi sijisifii hua nikipanda juu sambamba na style/mikao mengine mke wangu anafika kileleni mpaka anaishiwa nguvu inafika wakati namuonea huruma nahisi ntampoteza mke wangu ilihali mimi bado nahitaji kufanya hii inepelekea hata nipunguze siku za kua tunafanya mapenzi/Sex siku tukifanya bado hali ni ile ile. Kiukweli sijafikiria kuchepuka kabisaa ndo mana nikaamua kuweka uzi huu hapa jukwaani nipate mawili matatu kutoka kwa wataalam/maexpati/wakongwe maana humu ndani kuna wajuzi waliobobea katika idara nyingi mbalimbali.

kwa upole kabisaa niikabidhi mada hii mikononi mwenu Wadau kwa ajiri ya maoni/ushauri
Karibuni sana
hauna tofauti na mm kindoa mtoto, na sita kwa sita, muhimu kuweka maendeo kitu cha msingi
 
Bwana mdogo Pm kukinona wengine nipunguzie mimi kwani pia nina tatizo hilo hilo
 
Ki ujumla hayo uliyoyataja si kwamba ndiyo mahitaji muhimu ya mwanamke. Upendo na kumjali ni vitu vya muhimu kuliko uyasemayo.
Sasa kwanini kukomoana? Kuku ni wako manati ya nini?
sijaona mapungufu kwenye kumjali na kumpenda mke wangu... Na hua simkomoi mana hii kitu kiu inatofautiana wee kama unakunywa kikombe kimoja wengine tumezoea jagi zima
 
Back
Top Bottom