Mke wangu ananitesa kwa hili

Tatizo umelisema ni kila akipika ndio issue ilipo! HAPENDI KUPIKA HUYO, ila kwaa kuulaaaa; hajambo!!!

Je, una kawaida ya kumsifia kwamba yuajua kupika? (Japo ni wachache wanaojua kupika siku hizi)

Tuache yote ila ukweli ni kwamba kununa/kukasirika bila sababu za kueleweka ni kati ya sifa muhimu za baadhi ya wake zetu
 
tatizo kubwa lililopo kwenye ndoa zetu ni mawasiliano duni kati ya wenza. nadhani kwanza dumisha mawasiliano kwa kuongea nae kirafiki zaidi ili aweze kufunguka then atakuambia tatizo nini au utagundua tatizo kutokana na mazungumzo yenu. unajua wakati mwingine wanaume tunajidanganya sana kwenye tendo la ndoa unaweza kujihisi unamlizisha kumbe baada unamwacha mwenzio ana kiu au maumivu ambayo kila akikuona anayakumbuka and sometimes ukiomba game anakupa tu kwakuwa inalazimu
 

Aisee mi akinifanyia hivo hata hiyo matumizi simpi kila siku safari za kikazi haiishi,hata simu simtafuti ataanza yeye,hata akinicheat poa namwacha tu alivyo i dont care,baadaye ataelewa somo
 
akiendelea na tabia hiyo, wewe nenda zako live band, halafu uone, huku unapiga kitu cha castle lager bardiiiiiiiii. ukirudi nyumbani mnuno utauona kuwa ni tabasamu aisee.
 
Aisee mi akinifanyia hivo hata hiyo matumizi simpi kila siku safari za kikazi haiishi,hata simu simtafuti ataanza yeye,hata akinicheat poa namwacha tu alivyo i dont care,baadaye ataelewa somo

dawa ya moto maji, akimwaga ugali mwaga mboga toboa sufuria zima na moto asipike tena pambafff
 
dawa ya moto maji, akimwaga ugali mwaga mboga toboa sufuria zima na moto asipike tena pambafff

wanawake wengine si wa kubembeleza mpaka waone ukingo wa kupewa talaka
 

Kwa Hiyo Ikawaje Chief
Ahsante Jigo
 
akiendelea na tabia hiyo, wewe nenda zako live band, halafu uone, huku unapiga kitu cha castle lager bardiiiiiiiii. ukirudi nyumbani mnuno utauona kuwa ni tabasamu aisee.

...hii mbinu balaa, ukirudi na ashik majnun hakuna cha kumwandaa wala nini...
 
Women, women, women ni kazi kweli kueleweka sijui kwa nini. Da pole sana man.
 
pengine kuna jambo linamsumbua.anashindwa.namna.ya.kusema ama umemwekea mazingira fulani ya kushindwa kuwa wazi kwako.
ushauri wa kumnunia.sikushauri
maisha ya kulipana visasi mwisho wake ni kuachana.
hii inaonesha wepesi wa akili ya mwanaume kwamba ameshindwa kutatua tatizo ila amelikimbia.
kufikia climax ni kawaida kupitia vikwazo.
 
Embu jichunguze vizuri kwa umakini na ujue ana lengo gani pia la kununa, kama upo sawa ndio ufuate huo ushauri uliopewa wa kununa usijenuna ukaaribu kabisa
 
Kumpenda mkeo si kosa..kama ni Mkristu na wewe unalijua hilo...(usipompenda mkeo utampenda nani???)
Tafuta sababu kwa nini ananuna...muwe na mawasiliano...kuna watu wakikwazika wananuna badala ya kulalamika...
Na uwe makini na kutumia mitandao kuomba ushauri...utavunja ndoa yako kwa mikono yako (keyboard) mwenyewe


Mfano hapa JF wengi hawapendi kusikia watu wanapendana...(mtu anasema anamPenda mke/mumewe)...what do you expect...??????

Yani watu wameona kosa ulofanya kubwa ni kumpenda mkeo...ha ha ha ha ha ha

 
Last edited by a moderator:
Hio ya mwisho nini inasababisha kutokuwa na mapenzi tena?

Hukusoma hapa bi mkubwa, niliandika hivi:

Hali hii hutokea pia mwanandoa anapokuwa amepata pa kupumzikia huko nje, na anaona huko kwampa furaha zaidi ya ile aipatayo ndani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…