Mke wangu ananishangaza sana

Mke wangu ananishangaza sana

Dawa ya moto ni moto.. Chepuka na wewe mbona wapo wengi?
 
wa kwang ilikuwa hvo hvo nkaamua jikataa mtu online ukimtumia msg anaweza akajib ukaongeza nyingne asijib masaa kadhaa na yuko online
 
Usimuhukumu chunguza kwanza anaweza alipitiwa na usingz na huku alikuwa online whatsp
 
Kucheat sio soln... Unamuwazia mabaya pengine unakuta anakua online afu anacnzia uku bado simu ipo active...jiamini
 
Inawezekana alikuwa online afu akapitiwa na usingizi
 
Nilipata uhamisho wa kikazi kama mwaka hivi hivyo nakaa wilaya tofauti na mke wangu ila naenda nyumbani mara mbili kwa mwezi tuna watoto wawili ila nachoshangazawa nae nikimtumua msg whatsp huchelewa kujibu while yuko hewani mfano jana nilimtumia msg whatsp saa mbili hakujibu mpaka leo na alikuwa online mpaka saa tano usiku sasa najiuliza huwa anachati na nani
Sasa nataka nimfanyie uspy wa kutisha ili nijue na mimi nianze kuchepuka au la na kuna mfanyakazi mwenzie huwa naona wanawasiliana sana kwa simu nikikagua cm yake na yeye huwa anamponda sana huyo jamaa mpaka nashindwa elewa sasa nikigundua mchezo nitachet mpaka atashangaaa

...atamwacha Baba na Mama yake na KUAMBATANA na mumewe nao watakua sii wawili Tena Bali MWILI MMOJA....
Sababu yoyote itakayowatenga kwa Muda mrefu itakua imevunja AMRI ya Mungu ya KUAMBATANA na Ni lazima italeta MATATIZO ndani ya ndoa yenu.
 
Nilipata uhamisho wa kikazi kama mwaka hivi hivyo nakaa wilaya tofauti na mke wangu ila naenda nyumbani mara mbili kwa mwezi tuna watoto wawili ila nachoshangazawa nae nikimtumua msg whatsp huchelewa kujibu while yuko hewani mfano jana nilimtumia msg whatsp saa mbili hakujibu mpaka leo na alikuwa online mpaka saa tano usiku sasa najiuliza huwa anachati na nani
Sasa nataka nimfanyie uspy wa kutisha ili nijue na mimi nianze kuchepuka au la na kuna mfanyakazi mwenzie huwa naona wanawasiliana sana kwa simu nikikagua cm yake na yeye huwa anamponda sana huyo jamaa mpaka nashindwa elewa sasa nikigundua mchezo nitachet mpaka atashangaaa

Mzee hayo mambo ya kawaida sana. Wanawake wanapenda sana kupima na wakati mwingine wanakupa pressure ili uhisi kitu fulani wakati hamna kitu. So usifanye maamuzi ya kudumu katika vitu ambavyo ni temporary. Wewe piga kazi na mtunze mkeo achana na mawazo mabaya na ya kishetani. Shetani ni mbaya sana anapenda kudanganya watu, anakupa fikra za uongo then jaribu kuchepuka atakutafutia na mwanamke mwenye ukimwi ili uje ujutue badae. Sauti ya shetani ni ya upole sana na unaweza ukadhani malaika.

Ndoa ni kitu kikubwa sana sio kitu rahisi kama hujui maana ya ndoa ni bora usioe. Kwenye ndoa hatulipi visasi maana hapo ni kujitafutia kaburi mapema. Kama unampenda usijali mambo ya kusema anatembea na mtu au la. wewe mweleze unavyotaka aishi na hata kama hafuati usiishe kumpenda maana hilo ni chaguo lako. sasa endelea kujenga taifa pika kazi kama hakuna kesho ili uje ufaidi na mkeo na watoto wako. Acha kuwaza mabaya kwani unamkaribisha shetani na akikaribia atakupa majuto. Haya unayopitia leo wenzio tumepita na tumevuka tunaishi happy kabisa bila kinyongo. Samehe angalia mbele kwani kuna mengi ya kufikiria kuliko kulipa kisasi.
 
Kaaazi kweli kweli.....! Kwahiyo ukishachepuka na we ndio umemkomoa? Hizi ndoa zingine kama movie vile...
 
Acha kushangaaa nenda ofisi ya mkuu wa wilaya au wamkoa ndani ya wiki mbili unapewa au moja wenu anapewa uhamisho.na utaenjoy ndoa Kama kawaida mkuu,acha kulala
 
wewe una mchepuko tayari.....kwa kifupi unachapiwa,,, kosa lako ni kukagua simu yake,,, kwa mwezi mara mbili duh,,,,unapoteza muda mrefuuu huku kuomba ushauri wakati jamaa yuko chumvini kwa mkeo.....fimbo ya mbali......
haiui panyaaa sorry Joka no nyokaaa..... hahahaa...
 
Back
Top Bottom