Mke wangu ananipiga makofi kila ninapochelewa kurudi nyumbani, nifanyaje jamani nimechoka!

Mwambie asiwe anafanya hivyo, mtafutie bakora nzuri ya mpera umpelekee awe anatumia kukuchapia.Mwanaume kupigwa vibao na mkewe kumepitwa na wakati ndugu yangu,bakora ndo sahihi zaidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh, pole mkuu, sasa umeshajaribu kumrudishia kipigo? Maana hapo hakuna raha ni karaha tu. Kaa naye chini muongee, kama hawezi kuacha kukufanya wewe ndio "punching bag" lake, basi itabidi uamue mwenyewe, kuendelea kudundwa, kuzichapa naye au kila mmoja wenu achukue hamsini zake. Kumbuleni pia wakati anakudunda/kulimba, watoto wanasikia na kuona yote yanayojiri, hii si nzuri kwa afya zao za akili.
 
hapo sasa nani kamuoa mwenzie? mbona unatia mashaka....... sina uhakika kama story yako ni ya kweli au ya kutengeneza maana ....mhhhh, wewe ndo unaeishi nae na wewe ndo mwathirika wa kupigwa mpaka unalia so unahitaji kufanya maamuzi, mwanamke anapokuwa mkorofi kiasi hicho nadhani sio mke mwema aliyekupangia Mungu, lazima atakuwepo wa kwako sehemu so ni kuachana nae tu maana unatafuta kwa faida yenu wote halafu ukirudi unapigwa mpaka unalia na mkeo?????
 
Wewe hujaoa, ila umeolewa. Ni mpaka ubadilishe hilo kwanza ndo mambo yakae sawa.
Pili, kuna kosa ulifanya wakati unataka kuoa.. sitaki kulifafanua sana kwa sasa maana hata nikikuambia haitasaidia.
Maana umeshachelewa. Ndo unaambiwa kosea kujenga nyumba ila usikosee kuoa.
Hilo ni janga lako, jua liwake, mvua inyeshe, ije baridi ije joto, pambana
 
huyu anakoenda iko siku atajinyonga nyie haiwezekani upelekeshwe na mwanamke hivyo kisa nini.tumbaffu
 
Yaan hapa nina hasira hivi wewe mwanaume gani wa kupigwa na mwanamke?yaan natamani ningekuwa mm ili nimuonenyeshe show
 
Mtu alishamalizwa mapema tu hapo.
Kinachofuata ni kufuata tu mwanamke anavosema kichwa chini tu kama kondoo
Kipigo lazima achezee tu. Ila ipo siku akili ukikurudia utamfanyia maajabu huyo mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ha ha mkuu ukiona yamekushinda uwe unawahi kurudi tu hivyo
 
Wewe mzima kweli?
 
Mpaka mwaka huu bado tuu unapigwa au mambo yamebadilika?
 
Hivi bado unatembezewa m, mkong'onto? Mpe katoto kengine ili awe busy sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…