John L. Mihambo
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 526
- 180
hahahahhahaahhh! wewe binti sikuwezi khaaa!
Piga moyo konde mkuu, huyo ni kwamba hajaizoea hela bado ambayo inapatikana kwa JASHO, endelea kuhudumia familia yako kama awali...Mwanamke mwenye akili anajua thamani ya kusaidiana na mumewe kwenye kila hatua ya maisha kifamilia.
Ndio maana familia nyingi za Kitanzania hutetereka pindi MUME anapochukuliwa na MAULANA maana ni wengi hata bajeti za kifamilia wanakuwa hawafahamu.
Wengi wanapenda tu kuweka KIPAGO vizuri iliJIWE la manati lipite, na humu ndani wamejaa kibao utawagundua tu kwa posts zao...bhaaasss!!!
sasa wewe, kama kazzi ya akina dada ni kuzaa kwa uchungu, huko makzini wanatafuta nini??!!.
kama umeona huyu bwana hakuwahi kulalamika wakati mkewe akiwa mama wa nyumbani,
sasa amepata kazi, badala ya kumsaidia kwamba mimi na mweznagu tu wamoja, yeye anasepa, anakuwa na kiburi ......
hili ni tatizo la wanawake, ndio walivyo, hata ungefantaje si rahisi kuwabadilisha. for women..it is a common behavior!
huyu mzee cha kufanya, aamue tu ajinyamzie la sivyo atachanganyikiwa. halafu akiona matumizi yanakuwa makubwa aji-adjust kulingana na kipato chake. asipofanya hivyo atajikuta ameanguakia kwenye option 2, ambayo si nzuri yaani kila mtu kivyake, sasa baada ya miaka 9 halafu muachane, watoto pengine una wanne-avumilie tu, hata angeimba nyimbo zote za kwao hatabadilika
mmoja wapo ni huyo dada uliyemquote, kupitia comments zake tu utagundua ni aina gani ya mwanamke...
sometimes muwe mnapunguza malalamishi hata Biblia inasema mwanamke atazaa kwa uchungu,mwanaume atakula kwa jasho sasa we pambana kiume ihudumie familia siku akiamua kwa matakwa yake kusaidia its ok,hapa ndo tunapowatofautisha wanaume na wavulana vinginevyo unatafuta kuleta mitafaruku ktk ndoa.
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
sometimes muwe mnapunguza malalamishi hata Biblia inasema mwanamke atazaa kwa uchungu,mwanaume atakula kwa jasho sasa we pambana kiume ihudumie familia siku akiamua kwa matakwa yake kusaidia its ok,hapa ndo tunapowatofautisha wanaume na wavulana vinginevyo unatafuta kuleta mitafaruku ktk ndoa.
kasome mithali 31:10-31. mke mwema analisha familia yake na kuhudumia kwa kila kitu. Binafsi huwa namuomba sana Mungu anizidishie uwezo wa kuhudumia familia yangu ingawa mume wangu yupo responsible sana, natamani niwe mke mwema anayetajwa katika mithali 31.sometimes muwe mnapunguza malalamishi hata Biblia inasema mwanamke atazaa kwa uchungu,mwanaume atakula kwa jasho sasa we pambana kiume ihudumie familia siku akiamua kwa matakwa yake kusaidia its ok,hapa ndo tunapowatofautisha wanaume na wavulana vinginevyo unatafuta kuleta mitafaruku ktk ndoa.
Mkuu, kabla hatujaelekeza lawama zetu kwa mkeo labda ungejibu maswali haya machache;
1) Hali yenu ya kiuchumi ilikuwaje wakati mnaoana na huyo mkeo?
2) Leongo la yeye kutafuta kazi lilikuwa ni lipi?
3) Mlijadiliana na mkeo kwa kina sababu za yeye kutafuta kazina namna hiyo kazi itakavyo wanufaisha katika maisha yenu?
4) Mipango yako ya kuoa ilikuaje? Kwa maana ya mama wa nyumbani ama mfanyakazi, ili uweze kukabiliana na changamoto za maisha?
5) Nini falsafa yako kuhusu ndoa na mke wa kuishi nae?
sasa usaidizi si akileta nyama wewe unapika? Ama mnasaidiana, heheheh!sio fair bwana,mwanamke ni msaidizi wa mume. si amsaidie mume wake tu jamani.