Kama kazi yenu ni kuzaa tu, kazi aliitafuta ya nini? acheni kuwa wabinafsi...kufanya kazi ofisini ni alternative ya kulima, kufuga n.k!!!
Mabinti wa kizazi cha leo sijui mko vipi, kwa AINA YA MAWAZO YAKO, MTAENDELEA KUNYANYASWA NA KUTOPEWA KIPAUMBELE NA WANAUME....
Tafuta maana ya maneno haya DUTIES and RESPONSIBILIES then come back again to argue with watu8.
Hayo uliyonukuu ni aina tu ya kujitete, maana BIBLIA ninayoifahamu imeyaandika hayo ikiwa inaelezea adhabu ambayo mwanadamu anapewa baada ya DHAMBI kuingia duniani, na wala sio majukumu ya awali ambayo MUNGU alimpa KE na ME...
hapo umenena jembe...wanawake wengi hawawezi majukumu ya kifamilia kwa kweli..mwanamke hulka yake ni kuongozwa sio kuongoza...na post zao ni ushahidi tosha kabisa...100% nakubaliana na wewe...Piga moyo konde mkuu, huyo ni kwamba hajaizoea hela bado ambayo inapatikana kwa JASHO, endelea kuhudumia familia yako kama awali...Mwanamke mwenye akili anajua thamani ya kusaidiana na mumewe kwenye kila hatua ya maisha kifamilia.
Ndio maana familia nyingi za Kitanzania hutetereka pindi MUME anapochukuliwa na MAULANA maana ni wengi hata bajeti za kifamilia wanakuwa hawafahamu.
Wengi wanapenda tu kuweka KIPAGO vizuri ili JIWE la manati lipite, na humu ndani wamejaa kibao utawagundua tu kwa posts zao...bhaaasss!!!
endelea ebana kama vipi ila hapo kwa wasukuma na kukimbia miji..wasukuma na wanyamwez wanafanana kimtindo so dizain wako sawa kwenye kuhama miji..halafu mamanzi wa kisukuma ni kweli wanapenda ubabe flani hivi..daaah jombaaa umelenga mule mule yanWanawake ni watu wa home.. Sasa nyie mnawa-missuse sana kwa kuwaruhusu wafanye Kazi.. Ndio matatizo yake hayo.. Sasa Sijui ni kabila gani ukimpata msukuma anayefanya Kazi Lazima ndoa ipigwe chali, SIO sababu ya uhuni no Bali ubabe, majivuno, kiburi Na ubishi.. Wanawake Wa kisukuma waliosoma wachache sana wako Kwenye ndoa, Na stail Za Ndoa zao kuachana ni wanaume kukimbia miji..mwanamke wa kitusi akipata Kazi Basi hiyo Kazi Ndo inakuwa mume wake, all priorities zinalazwa Kwenye Kazi , mnyamwezi akipata Kazi lazima "alimbuke", huko
Kazini wanamkazi huko huko .., mwanamke wa kichaga piga ua hakaliki nyumbani hilo ujue mapema, Na ukitaka ndoa idumu degree yako ya wivu iwe zero, mpare Hana shida Yeye home anakaa Na kutulia kabisaa thamani yake umpatie gwaride kila saa tena la Maana ikivuja anagawa out tena Hana mshipi Wa ku feel guilty, Sijui niendelee ah nisije kwaza watu humu, mambo ya ajira Kwa wanawake yafanyike kabla ya ndoa.baada ya Ndoa Mwanamke anakuwa Na ajira mpya, kulea Na kutunza familia.
Smile pls usimwage PM zangu hadharani maana kama namtetea huyu mke wa Chaz C ambaye nyie mmeshamhumu how about PM?? Namaananisha zitakuwa za kukubembeleza sana mpaka watu watashangaa ni huyu huyu MR???
Back to point, bado nayaona mapungufu katika mada hii kwa sababu moja, kabla ya mke wake kupata kazi ni mwanaume ndiye aliyekuwa anahudumia 100%, saizi mke kapata kazi, kama mke anatoa matumizi ina maana mume atabaki na ziada. Akae na mke wake amshawishi jinsi gani watavyotumia ziada yao wote kwa manufaa ya familia.
Hayo ndiyo maisha.
Hiyo ni nadharia tena nadharia nyembamba. Hivi unadhani huyu mwanaume hajawai mshauri mkewe juu ya kuchangia matumizi? Unadhani hicho kiburi cha mke kutoa pesa alikiona wakati wanaomba, wanafanya sex, wanakula chakula au wakati wanajadili kuchangia kuendesha family?.
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
mfumo dume upo kabla hata ya Kristo lakini kuna mifumo ambayo ni kandamizi kwa karne hii tuliofikia natambua ni muhimu kusaidiana majukumu ya kifamilia lakini mkewe kakataa hivo hawezi kumlazimisha au kutumia mabavu inahitajika busara tu.
hapo umenena jembe...wanawake wengi hawawezi majukumu ya kifamilia kwa kweli..mwanamke hulka yake ni kuongozwa sio kuongoza...na post zao ni ushahidi tosha kabisa...100% nakubaliana na wewe...
hapa ndo huwaga nachoka na mafeminist wa jf. Wanapiga kelele za usawa kila siku aafu kwenye majukumu wanarudi kwenye biblia. Huwa siwaelewi, mkitaka kuhudumiwa kwa kila kitu basi kuweni tayari na majukumu ya ndani ya nyumba!
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
Kabla ya kupata kazi ulikuwa unaitunzaje familia? Anyway cha msingi usimlazimishe, unapaswa kukaa naye kwa utaratibu na kumuelewesha na kumshirikisha ktk mipango yenu ya maendeleo. Naamini akielewa, hataweza kwa namna yoyote kugoma kutoa mchango wake.Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
hivyo vipaumbele endelea kubaki navyo kwapani,duties na responsibilities za ke ni kuhakikisha malezi bora ya familia kuprovide money ni another issue na ni utashi wa mtu sitaki kubishana naww ila tambua aliyeleta uzi anataka nini kisha umjibu unavyoweza kumsaidia.
watu8 said:Piga moyo konde mkuu, huyo ni kwamba hajaizoea hela bado ambayo inapatikana kwa JASHO, endelea kuhudumia familia yako kama awali...Mwanamke mwenye akili anajua thamani ya kusaidiana na mumewe kwenye kila hatua ya maisha kifamilia.
Ndio maana familia nyingi za Kitanzania hutetereka pindi MUME anapochukuliwa na MAULANA maana ni wengi hata bajeti za kifamilia wanakuwa hawafahamu.
Wengi wanapenda tu kuweka KIPAGO vizuri ili JIWE la manati lipite, na humu ndani wamejaa kibao utawagundua tu kwa posts zao...bhaaasss!!!
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help
Ndio zao hizo,jitume tu mzee maana hawarekebishiki,tunawependa kwa urembo wao ukishamuweka ndani ndio utajua kwa nini wanaitwa wanawake.Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala hataki isaidie.nimemuelimisha kuhusu ugumu wa maisha lakini wapi, tatizo lolote likitokea ni mm ndo wa kusolve.. P/se help