Mke wangu ananibania tendo la ndoa

Mke wangu ananibania tendo la ndoa

Watu wa dar wanapenda sana kulalamika mitandaoni
 
Dhuuuuu jama unataka tim
Ya mpira
Amna uzazi wa kwanza mapacha na now wana miaka 9 ila uzazi wa pili c mapacha na watatu pia c mapacha ila now ni mjamzito kwaiyo izi ni baraka tu za Mungu...mkuu na co sifa.kuna watu wanaangaika usiku na mchana kupata watoto na awapati sasa kama mm na mke wangu tuna watoto kwann tusione ni baraka za Mungu pia kila mtoto uja na neema yake...by the way hii ni ya mwisho mzee...
 
Mkuu hizi mambo vipi unsleta hapa?
Mkuu sio mbaya nikileta hapa na kipata ishauri kwani hakuna anayenijua mm wala mke wangu sasa nashangaa wanaosema namdharilisha mke wangu wakati hakuna anaye nijua mm wala mke wangu wala familia yangu...
 
Acha zako
Huwezi kumuongelea mke wako namna hiyo
Labda unatafuta wa kukufariji humu
Sawa hayo ni mawazo yako by the way unijui ckujui why uongee ivyo kama ningekuwa nataka mwanamke c ningenda nunua malaya wanaojiuza uko nimalize aiazangu bac au nitafute mchepuko wowote bac afu pia mm nikitaka mwanamke cwezi tafuta mitandaono uo ni udhaifu mwanaime utakiwi kutafuta mwanamke mtandaoni yani wanawake wote waliojaa mtaami uko malaya wanaojiuza umeshindwa chukua ukapiga ukitafuta mwansmke mtandaoni tafsiri yake ww ni domo zege co jasiri afu pia nampenda mke wangu sana tumetoka mbali sana cwezi tafuta mchepukp au mwanamke mwingine njee sababu najua madhara yake nitaipatabu familia yangu so cwezi...ila asante kwa kuchangia mkuu.
 
Umewahi kuhudhulia clinic ya mama na mtoto, kama bado uende ukajifunze changamoto za ujauzito. Mwenzako anapambana na mabadiliko ya mwili na mgeni wake tumboni wewe unawaza unyumba?

Haupo fea jifunze kua na huruma .
Clinic uwa nampeleka mara kwa mara mkuu na ushauri napataga ila c unajua tena sisi wanaume miili yetu mzee jinsi ilivyo tukiwa na hisia ila ok any way nitakitaidi kuvumilia..
 
Upuuzi wa wazi

mambo ya mke wako waja yaanika hapa!!!

Nina imani kabisa,asilimia 99 kuwa huna mke

Ila muogope yule aliekuumba
Sawa ayo ni mawazo yako ww kwakuwa ww unanijua mm vzr sana afu pia ngoja nikwambia kitu humu jf akuna anayenijua mm wala mke wangu sasa nashangaa unasema eti cwezi zungumzia mambo ya mke wangu humu kwani kuna kibaya gani nilichosema apo nimemtusi wife mm nimesema tuu wife ni mjamzito ila ujauzito huu anipi unyumba wakati uzauzito aliokuwa anabeba zamani alikuwa akinipa unyumba sasa why useme ni upuuzi wakati mm nimetoa ya moyoni mwangu ungetakiwa tuu unishauri bro fanya ivi au fanya ivi c kunizungumzia mm kama vile unanijua sana wakati hata kunijua unijui nina watoto wa4 ila mke wangu kajifungua mara 3 na c mara 4 mana uzao mmoja ni mapacha pia usizani kila mtu umu jf akiongea kitu bac anadanganya aisee co ivyo cc wengine tuko real mm nina watoto 4 natarajia mtoto wa 5 naishi maisha ya kawaida tuu mm na familia yangu.uwezo wa kulea wanangu ninao..
 
Mke mmoja hatoshi, huu ndio ukweli, kua na mke mmoja ni ukiwa, wanawakee waliojaa bado unang'ang'ania papuchi moja
Mkuu hii ni shida sana mke moja tatizo mm ni mkristo nimefunga ndoa kanisani mkuu cwezi ongeza mke wa pili ilo ndo tatizo..yani napata shida balaa...
 
Watu wa dar wanapenda sana kulalamika mitandaoni
Mimi si ishi Dar naishi Songea bomba mbili mkuu usipendi kukalili maisha mkuu ila nimezaliwa Dar na wife nae ni wa Dar.
 
Mbona siuoni huu uzi???
Uzi nimeufuta mana naona watu wanaongea sana shiti kusu ili swala wengine wakizani naongea uongo wengine wakizani namdharilisha mke wangu sasa mm najiuliza namdhalilisha vp wife wakati cjamtukana nimetoa tuu ya moyoni nwangu kwamba mke wangu ana mimba ila mimba ya aafaro hii unyumba kunipa anipi kipapuna wakati mimba za zamani alikuwa akijipa kipapuna watu wanakuja na mapovu kibo badala ya kunipa ushauri nikaona huu uzi niufute tuu..ila ishu ndo iko ivyo previw page za nyuma utakuta kuna mdau ali uqoute..utauona
 
no wonder wanaume mnadharaulika aisee
pumba gani hizi aisee
kweli wanaume tuliiishii miaka ya 90 mwisho
Ujielewi vzr ww jamaa ebu jiangalie mara mbili mbili..
 
Mwanamke mwenye ruhusa ya kuninyima uchi ni yule asienitegemea kwa chochote.sio kwa Kodi ya nyumba wala sio kwa kula.kinyume na hapo,kila siku nagegeda mbele yake.
 
Chabrosy said: ↑
Wakuu habari zenu....!!kwema jamani!! wazima humu ok ngoja twende kwenye topic.

Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1.

Wakuu kabla cjamua mke wangu kipindi icho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwnye uchumba tulikuwa tuna banjuana sana alikuwa akinipa k frequently yani akija geto ni kubanjuana tuu mwanzo mwisho.

Mpaka nikampa mimba tukabahatika kupata watoto mapacha wa kiume mwaka 2008 tukakaa kwnye uchumba sugu wee ila ilivyofika mwaka 2013 tukaowana.

Tulivyopata watoto mapacha wife alikuwa anatabia kipindi kile ana mimba ya kwanza ya awa mapacha kipindi icho mimba ina miezi 6 kama 7 ivi wife alikuwa anapenda sana nimpige kulunge ananipa papuchi yani alikuwa ana ny*g* balaa na akiwa na mimba uwa anakuwa mtamu na wamoto aisee ni shida nilikuwa nampiga mashine kweli kweli aisee.

Mwaka 2014 tukapata mtoto wa 3 wa pia kipindi iki akiwa na mimba ya uyu mtoto wa 3 pia nilikuwa nampiga kulunge kama kawa tena alkuwa anapenda balaaa.

Mwaka 2016 tukapata mtoto wa kike pia kipindi akiwa na mimba ya huyu nilikuwa nampiga kulunge balaa yani tena uwa anapenda sana..

Ila mwaka huu ana mimba tangia akiwa na mimba now ina miezi 5 ila wife apendi niwe nampiga kulunge kabisa yani apendi niwe na suza rungu kwake kabisa wakuu na mimi kuchepuka si takii aisee wakuu nimepiga sana punyeto yani kama jana nimepiga punyeto bao mbili mfululizi kulunge linaniuma balaa wife game ataki kunipa..

Napata shida sana wakuu yani mpaka najiuliza uyu mwanamke kapatwa na nini mbona mimba hii apendi niwe na mpiga kulunge why msaada kwnu wakuu nifanyaje kuchepuka sitaki na ndomana nimepiga punyeto ila nyeto aisee sitoshekii kabisa wakuu nataka kipapuna na kipapuna papuchi mke wangu ananibania msaada wadau..[HASHTAG]#nimelala[/HASHTAG] mzungu wa nne apa#
 
Uzi haufutwi ila comment ndo inafutwa,kwa sasa nokia ndo anaonekana mleta mada. Mwanzoni nikadhan ana multiple ID. Ukileta tatizo vumilia comments zote sio utegemee za kusifiwa tu

Uzi nimeufuta mana naona watu wanaongea sana shiti kusu ili swala wengine wakizani naongea uongo wengine wakizani namdharilisha mke wangu sasa mm najiuliza namdhalilisha vp wife wakati cjamtukana nimetoa tuu ya moyoni nwangu kwamba mke wangu ana mimba ila mimba ya aafaro hii unyumba kunipa anipi kipapuna wakati mimba za zamani alikuwa akijipa kipapuna watu wanakuja na mapovu kibo badala ya kunipa ushauri nikaona huu uzi niufute tuu..ila ishu ndo iko ivyo previw page za nyuma utakuta kuna mdau ali uqoute..utauona

 
Clinic uwa nampeleka mara kwa mara mkuu na ushauri napataga ila c unajua tena sisi wanaume miili yetu mzee jinsi ilivyo tukiwa na hisia ila ok any way nitakitaidi kuvumilia..
Vumilia tu ndo uanaume huo mkuu.
Wewe afadhali mimi yalinikuta ila nikatambua tatizo na nikatatua kiume tukasonga mbele bila kumkwanza. Unajiongeza tu kimtindo
 
Amna uzazi wa kwanza mapacha na now wana miaka 9 ila uzazi wa pili c mapacha na watatu pia c mapacha ila now ni mjamzito kwaiyo izi ni baraka tu za Mungu...mkuu na co sifa.kuna watu wanaangaika usiku na mchana kupata watoto na awapati sasa kama mm na mke wangu tuna watoto kwann tusione ni baraka za Mungu pia kila mtoto uja na neema yake...by the way hii ni ya mwisho mzee...
Na wewe kaka yangu jambo hilo ndio uchepuke hujui kuwa hiyo ni mimba tu inambadilisha mvumilie wife sawa kaka
Ndomaana mwisho nmemuambia namzengua maana najua watu wa JF huyachukua mambo vile yalivyo kutokana tu nawingi wao nasio content!!
 
Back
Top Bottom