Mke wangu ananibania tendo la ndoa

Mke wangu ananibania tendo la ndoa

Mkuu sio mbaya nikileta hapa na kipata ishauri kwani hakuna anayenijua mm wala mke wangu sasa nashangaa wanaosema namdharilisha mke wangu wakati hakuna anaye nijua mm wala mke wangu wala familia yangu...
Watu wengine huwa wanapenda kuleta challenge kwenye kila suala wala udishangae.

Lakini kwa uelewa wangu wanawake wengi siku hamu yao ya tendo la ndoa inaathiriwa na vitu vingi, mfano baadhi ya njia za uzazi wa mpango zinapunguza hamu ya tendo la ndoa. Sababu nyingine ni ile ya ujauzito, baadhi ya wanawake huwa na tabia za ajabu kama vile kumpenda sana mumewe au mtu fulani, au kumchukia sana mumewe au mtu fulani, si kwa kupenda lkn inatokea tu na hali hiyo inakuwa nje ya uwezo wao.

Ile sababu ya kuwa labda kapata dume jingine siwezi kusema ni kweli au sio kweli. Maana yote yanawezekana. Wanawake wazinzi wapo na wanaume wazinzi wapo pia (hivyo chunguza kama ni kweli utagundua tu).
Lkn kukunyima tendo la ndoa si lazima awe kapata mwamamume mwingine inaweza kutokea kwa sababu nyingi baadhi kama nilivyoeleza hapo juu.
Lkn ilitakiwa akueleze kabla ya kukunyima, atoe sababu ya msingi kwa nini akunyime? Isiwe sababu ya kujua yeye tu!!!!! Hapo lazima hata mimi nitaona sio kitu cha kawaida.

Kuleta uzi huu humu sio kosa, maana wengine wanadhani wanajua kila kitu, lkn kutafuta ushauri ni busara zaidi kuliko kujifanya hauhitaji ushauri halafu ukafanya maamuzi mabaya peke yako.
 
Mkuu sio mbaya nikileta hapa na kipata ishauri kwani hakuna anayenijua mm wala mke wangu sasa nashangaa wanaosema namdharilisha mke wangu wakati hakuna anaye nijua mm wala mke wangu wala familia yangu...
Watu wengine huwa wanapenda kuleta challenge kwenye kila suala wala udishangae.

Lakini kwa uelewa wangu wanawake wengi siku hamu yao ya tendo la ndoa inaathiriwa na vitu vingi, mfano baadhi ya njia za uzazi wa mpango zinapunguza hamu ya tendo la ndoa. Sababu nyingine ni ile ya ujauzito, baadhi ya wanawake huwa na tabia za ajabu kama vile kumpenda sana mumewe au mtu fulani, au kumchukia sana mumewe au mtu fulani, si kwa kupenda lkn inatokea tu na hali hiyo inakuwa nje ya uwezo wao.

Ile sababu ya kuwa labda kapata dume jingine siwezi kusema ni kweli au sio kweli. Maana yote yanawezekana. Wanawake wazinzi wapo na wanaume wazinzi wapo pia (hivyo chunguza kama ni kweli utagundua tu).
Lkn kukunyima tendo la ndoa si lazima awe kapata mwamamume mwingine inaweza kutokea kwa sababu nyingi baadhi kama nilivyoeleza hapo juu.
Lkn ilitakiwa akueleze kabla ya kukunyima, atoe sababu ya msingi kwa nini akunyime? Isiwe sababu ya kujua yeye tu!!!!! Hapo lazima hata mimi nitaona sio kitu cha kawaida.

Kuleta uzi huu humu sio kosa, maana wengine wanadhani wanajua kila kitu, lkn kutafuta ushauri ni busara zaidi kuliko kujifanya hauhitaji ushauri halafu ukafanya maamuzi mabaya peke yako.
 
Sawa hayo ni mawazo yako by the way unijui ckujui why uongee ivyo kama ningekuwa nataka mwanamke c ningenda nunua malaya wanaojiuza uko nimalize aiazangu bac au nitafute mchepuko wowote bac afu pia mm nikitaka mwanamke cwezi tafuta mitandaono uo ni udhaifu mwanaime utakiwi kutafuta mwanamke mtandaoni yani wanawake wote waliojaa mtaami uko malaya wanaojiuza umeshindwa chukua ukapiga ukitafuta mwansmke mtandaoni tafsiri yake ww ni domo zege co jasiri afu pia nampenda mke wangu sana tumetoka mbali sana cwezi tafuta mchepukp au mwanamke mwingine njee sababu najua madhara yake nitaipatabu familia yangu so cwezi...ila asante kwa kuchangia mkuu.
Usichepuke baba Utabarikiwa zaidi
 
Mkuu hii ni shida sana mke moja tatizo mm ni mkristo nimefunga ndoa kanisani mkuu cwezi ongeza mke wa pili ilo ndo tatizo..yani napata shida balaa...
Unadanganywa halafu unakubali looo
 
Watu wengine huwa wanapenda kuleta challenge kwenye kila suala wala udishangae.

Lakini kwa uelewa wangu wanawake wengi siku hamu yao ya tendo la ndoa inaathiriwa na vitu vingi, mfano baadhi ya njia za uzazi wa mpango zinapunguza hamu ya tendo la ndoa. Sababu nyingine ni ile ya ujauzito, baadhi ya wanawake huwa na tabia za ajabu kama vile kumpenda sana mumewe au mtu fulani, au kumchukia sana mumewe au mtu fulani, si kwa kupenda lkn inatokea tu na hali hiyo inakuwa nje ya uwezo wao.

Ile sababu ya kuwa labda kapata dume jingine siwezi kusema ni kweli au sio kweli. Maana yote yanawezekana. Wanawake wazinzi wapo na wanaume wazinzi wapo pia (hivyo chunguza kama ni kweli utagundua tu).
Lkn kukunyima tendo la ndoa si lazima awe kapata mwamamume mwingine inaweza kutokea kwa sababu nyingi baadhi kama nilivyoeleza hapo juu.
Lkn ilitakiwa akueleze kabla ya kukunyima, atoe sababu ya msingi kwa nini akunyime? Isiwe sababu ya kujua yeye tu!!!!! Hapo lazima hata mimi nitaona sio kitu cha kawaida.

Kuleta uzi huu humu sio kosa, maana wengine wanadhani wanajua kila kitu, lkn kutafuta ushauri ni busara zaidi kuliko kujifanya hauhitaji ushauri halafu ukafanya maamuzi mabaya peke yako.
Shukrani kaka..
 
Sasa kama hana appetite ajilazimishe kukulwa tuu, kuwa na huruma basi, watoto wote hao bado unalalama unanyimwa!! Muone
 
Na wewe kaka yangu jambo hilo ndio uchepuke hujui kuwa hiyo ni mimba tu inambadilisha mvumilie wife sawa kaka
Asante nashukuru kwa ushauri ila sasa tatizo kanizoesha sana ila ok any way nitavumilia japo nateseka sana aisee asikwambie mtuu mke akuzoeshe kitu fran afu aje badaee akukatishikatishie ni shida.
 
Vumilia tu ndo uanaume huo mkuu.
Wewe afadhali mimi yalinikuta ila nikatambua tatizo na nikatatua kiume tukasonga mbele bila kumkwanza. Unajiongeza tu kimtindo
Shukrani.
 
HAUTAKI KUCHEPUKA UNATAKA USHAURI GANI, OK NUNUA MIKATE ILE UKIPIGIA NYETO WALA HAIUMIZI
 
Mwanamke mwenye ruhusa ya kuninyima uchi ni yule asienitegemea kwa chochote.sio kwa Kodi ya nyumba wala sio kwa kula.kinyume na hapo,kila siku nagegeda mbele yake.
Mzee usiseme ivyo mm nilikuwa na maneno mengi sana kipindi cha ujana wangu nilikuwa naongea maneno ya kila aina kipindi cha miaka ya 2004,2006,2007 miaka hii nilikuwa ni moto wa kuotea mbali nilikuwa nasema nitakuja oa mwanamke mzuri sana japo mke wangu mzuri ila co sana nilikuwa napiga sana mademu awa wa chuo kipindi icho ndo na miaka 21 22 nilikuwa Chabro chabro kweli aisee ila nikaja angukia kwa wife hata wife wangu nilikuwa sina plan ya kumuoa nilikuwa nasema mm mzee wa chapa ilale ila mzee mwaka 2007 nilivyompa mimba ulitokea msala uwo hatari binti alifukuzwa kwao alikuwa kipindi icho kamaliza form 6 pale Jangwani sec nakumbuka ilikuwa mwezi wa 11 mwaka 2007 akaniambia bby ninanimba yako ikabidi amie geto aisee akili yangu ilitulia kipindi icho mm niko chuo mwaka wa 3 nilishi na uyu mwanamke kiMungu Mungu sana aisee nilipitia majaribu ayo hatari kuna kipindi tulipigika na maisha mimi na wife hatari kiukweli uyu mwanamke cwezi muacha cwezi mcheat mana nikikumbuka aliyonivumilia wazazi wake walitaka atoe mimba ilikataa nakuja geto tulishi maisha magumu balaa yani nakumbuka kipindi anakaribia jifungua mwezi wa 6 ile nilikuwa na akiba ya elfu 20 tu geto yanikikumbuka majaribu niliyoyapitia na uyu mwanamke aisee cwezi muacha akaja jifungua mapacha tulipata sana shida kuwalea mpaka sasa wana miaka inakaribia 10 sasa mwezi wa 8 tar 2 mwaka huu wanatimiza miaka 8 aisee nimetoka mbali sana na mke wangu ninamuheshimu sana tumesota sana mpaka leo tuna atleast maisha mazuri kidogo ninamuheshimu sana kwaiyo ndugu usiseme kwamba mwanamke akupangii cjui nn ipo siku utakuja kutana na balaa ilo uta admit mwenyewe tena watu kama nyie ndo wanawake uwa wanawabuluza sana kwaiyo ndugu ni swala la kumuomba Mungu tu.
 
Uzi haufutwi ila comment ndo inafutwa,kwa sasa nokia ndo anaonekana mleta mada. Mwanzoni nikadhan ana multiple ID. Ukileta tatizo vumilia comments zote sio utegemee za kusifiwa tu



Koh koh koh. Rafiki itakuwa haijui vizuri jf.

Humu ukija na uzi inatakiwa ujiandae kwa kila hali.
 
Uzi nimeufuta mana naona watu wanaongea sana shiti kusu ili swala wengine wakizani naongea uongo wengine wakizani namdharilisha mke wangu sasa mm najiuliza namdhalilisha vp wife wakati cjamtukana nimetoa tuu ya moyoni nwangu kwamba mke wangu ana mimba ila mimba ya aafaro hii unyumba kunipa anipi kipapuna wakati mimba za zamani alikuwa akijipa kipapuna watu wanakuja na mapovu kibo badala ya kunipa ushauri nikaona huu uzi niufute tuu..ila ishu ndo iko ivyo previw page za nyuma utakuta kuna mdau ali uqoute..utauona
Pole mkuu kila mimba inakuja na mood zake. ##kipapuna## ila k inamajina jamanii
 
hilo ni tatizo kubwa sana , wanawake wengi wakishaingia kwenye mahusiano wana relax sana , wanasahau the more close we are with them the more our nonihinooo wants them ... ndio umuhimu wa kuoa wake wawili nauonaaa
Case ya huyu mwanamke ni mjauzito. Mimba zinachangamoto zake.
 
Ila sijaona ubaya wowote wa mtoa mada. Ameleta tatizo tumsaidie mawazo sasa hapo uanaume wa dar unaingiaje?? Mpeni mbinu ajisaidieje,mkuu kwanza hongera kwa msimamo wa kutochepuka. Mimba ni suala zima la hormone so unaweza kukuta hormone fulani ipo juu kuliko nyingine ambayo inamfanya asipende ku do.
Hyo inatokea sana sana tuu hata mm mimba yangu ya pili nilikua sitaki hata kusikia hiyo kitu ila nilikua najitahidi tuu basi maana namjali husband. So cha kufanya mwambie akupe tuu hata kama hajisikii. Yy akuachie tuu mwili wala asihangaike atulie ufanye yako akusaidie usije ukapata wehu au ukachepuka kabisaa.
 
Wakuu habari zenu, kwema, wazima humu!

Ngoja twende kwenye mada.

Ni hivi nina mke nimeoa tangia mwaka 2013 tumebatika kupata watoto 4 wa kiume 3 wa kike 1.

Wakuu kabla sijamuoa mke wangu kipindi hicho tulivyokutana miaka ya 2007 tupo kwenye uchumba tulikuwa tuna fanya sana mapenzi, alikuwa akinipa k frequently yani akija geto ni kufanya mapenzi mwanzo mwisho.

Mpaka nikampa mimba tukabahatika kupata watoto mapacha wa kiume mwaka 2008 tukakaa kwenye uchumba sugu wee ila ilivyofika mwaka 2013 tukaoana.

Tulivyopata watoto mapacha, mke alikuwa anatabia kipindi kile ana mimba ya kwanza ya awa mapacha kipindi icho mimba ina miezi 6 kama 7 ivi, mke wangu alikuwa anapenda sana nifanye nae mapenzi yani alikuwa ana ny*g* balaa na akiwa na mimba uwa anakuwa mtamu na wa moto aisee ni shida nilikuwa nampiga mashine kweli kweli.

Mwaka 2014 tukapata mtoto wa 3 wa pia kipindi ikikiwa na mimba ya huyu mtoto wa 3 pia nilikuwa nafanya nae mapenzi kama kawa tena alikuwa anapenda balaa.

Mwaka 2016 tukapata mtoto wa kike pia kipindi akiwa na mimba ya huyu nilikuwa nafanya mapenzi balaa yani tena yeye anapenda sana.

Ila mwaka huu ana mimba tangia akiwa na mimba sasa ina miezi 5 ila mke wangu hapendi niwe nafanya nae mapenzi kabisa.

Wakuu na mimi kuchepuka si taki, wakuu nimepiga sana punyeto yani kama jana nimepiga punyeto bao mbili mfululizo uume unaniuma balaa mke wangu hataki kunipa.

Napata shida sana wakuu yani mpaka najiuliza huyu mwanamke kapatwa na nini mbona mimba hii hapendi niwe nafanya nae mapnzi why?

Msaada kwenu wakuu, nifanyaje kuchepuka sitaki na ndomana nimepiga punyeto ila nyeto aisee sitosheki kabisa wakuu.

Msaada wadau

[HASHTAG]#nimelala[/HASHTAG] mzungu wa nne apa#
Labda kapata anayemtosheleza zaidi mana duuuuh sio kwa hamu hizo, kama njiwa aseeeh!!!!
 
Back
Top Bottom