Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

Mke wangu anakaa siku 5 hapati choo kikubwa

Ngoja wajuzi waje ,lkn je mmefanya matibabu gani hadi sasa eidha ya tiba asili au hospital
 
Parody🤔
Atajua yeye
1775026992378.gif
 
Huwa naona wife akipatwa na hiyo hali anachemsha mafuta ya mnyonyo anakunywa....

Mwanzo nilikuwa na wasiwasi kidogo ila guess what, baada ya kunywa alipata haja na hali ikaisha!!

Kwahyo kama na ww shida n hiyo pekee, jaribu na hii njia.
Pia chunguza sababu inayopelekea hii hali n nn

Note: Wangu sabb yake kupata hii hali huwa n akinywa MSETO.... anapata kitu kama allerg

Fanya uchunguzi ili aepuke kisababishi
 
Back
Top Bottom