Village fooler
JF-Expert Member
- Mar 16, 2020
- 721
- 1,449
Don't make decisions when you are angry!! Huwez jua how far anampenda mke wake...by the way wapo watu waliowafumania wake zao live na still bado hawajaachana ila kuna wengne waliachana na wake zao kisa SMS za kwenye simu tu... Kikubwa waongee tu wafikie muafaka kama either Ni kumsamehe au kumuacha!...............Sasa unadhani hapo kuna jengine kama siyo kumuacha?huyo ni malaya na huo ni uthibitisho tosha namshangaa mwamba yupo hapa ana-post saizi alitakiwa awe anamsimamia kutoa vitu vyake nje hawa malaya siyo wa kucheka nao wanakuuwa huku unajiona.
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Nipe namba yake nijiridhishe kama ni kweli au unamsingizia.Wakuu,
Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi
Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes
Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini
View attachment 1419021
Sent using Jamii Forums mobile app
Ooh kumbe, nilidhani tayari una wake wawili ili niongezeke niwe wa tatuhapana mimi kuoa bado kabisa mbona dear
Mkague kwa nyuma vizuri kama shimo limetanukaWakuu,
Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi
Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes
Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini
View attachment 1419021
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipunguze kidogo 50Naona ungekutana na msg Kama hii ungeziraiView attachment 1419034
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Anakula chake mkuu😂😂😂😂
Ooh kumbe, nilidhani tayari una wake wawili ili niongezeke niwe wa tatu
Njoo uwe mume wa pilihamna, Ila unaweza anza ukawa wa kwanza
Njoo uwe mume wa pili
😅😅Weye tu ukiwa tayari,
Sio mbaya mnatafuta wote ili niweze kuhudumia familia pamojaWakuu,
Nimekuta sms kwenye simu ya mke wangu (TELEGRAM) japo mazungumzo yameanzia katikati inaonekana sms nyingine alizifuta ila hizo za mwisho alisahau. Mazungumzo yapo hivi
Mke wangu: moja elfu 20
Namba ngeni: mbele?
Mke wangu: yes
Nimemuuliza huyu ni nani, hajanijibu chochote yupo kimya. Ukimya wake ukanifanya nimpige makofi, yupo analia huko ndani. Screenshot hii hapa chini
View attachment 1419021
Sent using Jamii Forums mobile app