huu ni uzezeta....i zidisha upendo ipo siku ataacha hayo mambo mkuu.
Nilitaka nimuulize hivi ingelikuwa yeye angefata hicho alicho kiandika 🤣huu ni uzezeta....
kwanini wasiongee tu wakayamaliza
Wacha kumuingiza mwenzio chaka la simba wakati yeye ni digidigihuu ni uzezeta....
kwanini wasiongee tu wakayamaliza
Ningefata mkuuNilitaka nimuulize hivi ingelikuwa yeye angefata hicho alicho kiandika 🤣
hujajibu swali langu....Wacha kumuingiza mwenzio chaka la simba wakati yeye ni digidigi
Waongee ila atumie akili tu mambo yaendehuu ni uzezeta....
kwanini wasiongee tu wakayamaliza
Sawa sasa uzoefu wangu unaniambia hivi......Hapana Hana mtoto
Bila shaka huyu mke ni single mom.Mambo.
Mi Ni mwanaume mimeoa muda si mrefu Sana, nampenda mke wangu, lakini changamoto ninazoziona hata raha ya ndoa siioni.
Tatizo ninaloliona kwa mke wangu Kwanza Ni Mawasiliano na Mashemeji zake na Mkwe wa X wake.
Hili Jambo nimejaribu kumueleza aliache naona Mawasiliano yapo vile vile. Nimegundua Jambo lingine ana Account ya Social network ina picha Nyingi alizopiga na X wake, na ameandika maneno mengi ya mahaba kumuhusu huyo X wake anavyompenda. Kiukweli nimeumia kwa kuwa nampenda. Hiyo account ipo active anaitumia Mara kwa Mara kuandika maneno ya mahaba anavyompenda huyo X wake. Mpaka leo nimeona maneno mengine ya mahaba.
Najikuta naumia kwanini alikubali kuolewa na Mimi ili Hali Moyo wake Bado unampenda X wake.
Nawaza na kuwazua sikupenda kuoa na kuacha Ila changamoto hii ya kuwa na Mke ambae ametunza picha za X wake na Mawasiliano na mashemeji, naona Kama ipo siku atarudi kwa X wake. Au Tuta shere(Magonjwa mengi ya zinaa)
Naomba ushauri wako, ndugu Yangu.