Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
Kama kafanana na wewe basi itakua ni mambo yakibiology yaliyosababisha mkazaa hivyo so waulize wataalam watakusaidia
Doctor Explain How Black Nigerian Couple Give Birth To White Baby - Family - Nairaland
Black parents give birth to white baby | The Sun |News
Haya soma hizo link juu, na sechi online utapata habari nyingi.
Hata mimi nimeshangaa Mwl.Mke wako, mtoto wako na umesema kafanana na wewe sasa si tusemeje jamen
au unataka tulete chokochoko kwenye ndoa yako?
Sasa kama mtoto kafanana na wewe na una kubali unataka nini tena?
Tangu lini mzungu akafanana na mwafrika? Alafu inakuwaje mtoto mchanga wasiku 3 kufanana na mtu mzima? Are kidding me? Hisia zako ni zakweli umeliwa hapo mkuu.
Sio mzungu ni albino
Jamani jumatano majira ya saa tisa usiku mke wangu amejifungua.
Si masihala, amezaliwa mtoto mzungu kabisaaa ila amefanana kila kitu na mimi (copy kabisa).
Hii ni hali ya kawaida? Ukoo wetu hamna mzungu kabisa wala half cast. Nikifikiria naona kama nimeliwa hivi ila tatizo ni kwamba mtoto amefanana sana namimi kiukweli. Tayari nimeanza kuwa na wakati mgumu baadhi ya ndugu na marafiki kuongea maneno pembeni.
Naombeni mawazo ya kujenga jamani. Asanteni.