Mke wangu amezaa mtoto mzungu

Mke wangu amezaa mtoto mzungu

hayo ni maajabu makubwa? mweusi kuzaa mzungu kama ni maajabu kwanini hatujayaona ktk magazeti front pages? kama ilivyotokea uingereza kwa wale wanaijeria au umecopy na kupaste story yao!uwainjoi wanajf! we can't verify authenticity of your story.
 
Jamani jumatano majira ya saa tisa usiku mke wangu amejifungua.

Si masihala, amezaliwa mtoto mzungu kabisaaa ila amefanana kila kitu na mimi (copy kabisa).

Hii ni hali ya kawaida? Ukoo wetu hamna mzungu kabisa wala half cast. Nikifikiria naona kama nimeliwa hivi ila tatizo ni kwamba mtoto amefanana sana namimi kiukweli. Tayari nimeanza kuwa na wakati mgumu baadhi ya ndugu na marafiki kuongea maneno pembeni.

Naombeni mawazo ya kujenga jamani. Asanteni.
Inatokeaga...lakini chance yake ni ndogo sana (one in a million)......soma hapa
Black mum gives birth to WHITE baby in 1,000,000-1 odds that baffled midwives - Mirror Online
 
napata wakati mgumu kujua jinsia yako maana...embungoja ntarudi
 
kuna TOPIC MOJA YA HUYU MCHUNGUZI HURU..[.ANASEMA KAACHIKA]..KWA SABABU YA KUTO MPA MCHUMBA AKE APPLE.LEO ANAKUJA KUTUAMBIA MKEWE KAJIFUNGUA.MMMMMH sasa jinsia yake utata.afu tupunguze uwongo,ukiwa muongo jaribu kuwa na kumbukumbu nzuri
 
Watoto wazaliwapo wengine huzaliwa na ngozi lainii na nyeupe, nywele lainii zilizolala na hufanana kama na wenzetu wa huko magharibi au mashariki ya kati hata bara europa kabisa, sasa kama ni mgeni na hali hiyo na hujawahi kuishi ama kuona mtoto wa kizungu utasema " MKE WANGU AMEZAA MZUNGU" hapana bro, subiri uone kipilipili kikianza kuchepuka na ngozi kurudi kama yako, nyeusiiii utatulia. Tena ukizingatia ana lipua la kibantu
 
aisee we jamaaa mchunguzi huru umetisha ile mbaya mpaka sasa zimebainika id 4 kun
slimshed
punda
lisa
na hiyo ha ha ha ha ha
 
Back
Top Bottom