Pole sana Mkuu!!!
Nikamuuliza uliomba ruhusa
ya kuhamia kibaha ili uwe
huru? Je umekosa nini kwangu au mimi nilikuwa
sikutoshelezi? akajibu
hapana!
Hebu Mpe SECOND CHANCE lakini hii nafasi ni kwa ajili ya kumchunguza pekee na kwenda kupima... Maana kama ni kweli anataka msamaha hata Rudia ila kama Ataendelea tafuta Usitarabu mwingine kabla hayajawa makubwa na Kukuletea UKIMWI/STD's nyumbani
Allishatumia K ndio maana alijua kwamba iko tofauti. Labda kama walitumia ndomu............But b4 hawajasameheana wanatakiwa wakapime afya zao kwanza,maana huwezi kujua huyo mfanya biashara anauzima kiasi gani!!!
use poison to fight poison
Pole sana ndugu...hii stori inasikitisha sana! Muamuzi ni wewe mwenyewe...Ushauri mwingi umepewa, nami naongezea kidogo; kwanza ni bora umsamehe kwa kuwa amekiri makosa. Kumsamehe haimaanishi kuendelea kuishi naye ama la...ni kutoa jakamoyo moyoni mwako. Pili kama una mpango wa kuendelea naye, nendeni mkapime afya zenu kwa pamoja..Ikibainika kuwa mpo salama muanze upya safari yenu ya ndoa. Tatu huyo mfanya biashara lazima afunzwe adabu... Lakini kabla ya kumfunza adabu Mr. Businessman...muulize mkeo alijipambanua vipi kwake..yaani alimwambia alikuwa yupo kwenye ndoa...ama alikuwa yupo yupo kwanza? Kama kosa ni la mkeo kuwa alimwambia kuwa yupo single...ama hayuko katika mahusiano ya dhati basi hata huyo mfanya bisahara umsamehe bure...
Mwisho kwa kuwa mkeo amekuwa honest kwako...baada ya mambo yote hapo juu..jaribu kupata tena committment yake kuwa ataheshimu ndoa yenu hadi mwisho wa maisha yenu hapa duniani.
Kumbuka...hakuna mtu aliye mkamilifu...