Mke wangu amenisaliti 'live', naombeni ushauri wenu tafadhali

Hii ya kumfunza adabu mfanyabiashara sikubaliani nayo. Mwenye wajibu wa msingi wa kulinda mali isiibiwe ni mume na mke. Kama mke alishindwa kuwajibika kulinda mali za watu na mume alikuwa ***** kugundua viashiria vya kuibiwa sioni kwa nini afunzwe mtu ambaye aliomba tu huduma na akagawiwa na mke wa jamaa kwa ridhaa yake mwenyewe. Labda kama huyo mwanamama alibakwa ambapo itabidi sheria ichukue mkondo wake.


Tata wewe ni jinsia gani? Kama ni mwanaume...halijakufika ndio maana unakuwa soft hearted!
 
Tata wewe ni jinsia gani? Kama ni mwanaume...halijakufika ndio maana unakuwa soft hearted!

Mundu mimi nina jinsia ya kiume na nina umri wa kati ya miaka 40 na 45. Hivyo ni mtu mzima kwa mazingira na viwango vyetu vya Tanzania - yaani mimi siyo kijana tena. Nimekulia na kusomea vijijini kwa muda mrefu huku mjini nimekuja kwa sababu ya imu ya juu na hatimaye kazi tu. Ila mpaka sasa nina zaidi ya miaka ishirini ya kuishi mjini mfululizo. Hivyo nina uzoefu mzuri tu wa maisha ya kijijini na mjini.

Ukiwa mtu mzima hasa ambaye umeoa unajifunza jambo moja la msingi sana ambalo vijana wengi hawalijui kwenye maisha na mahusiano nalo ni SUBIRA na TAFAKURI ya kina kabla ya kufanya maamuzi. Hasa yale maamuzi ambayo yanaweza kubadilisha mustakabali wa maisha yako kwa usiku mmoja. Chukulia Ngoswe.120 anaamua kumtafuta, kumfahamu na kisha na kumdhuru huyo mwizi wake baada ya kumwekea mtego wa kumnasa akiwa na mkewe. Bahati mbaya huyo mwizi wake anakufa au kujeruhiwa vibaya. Moja ya matokeo ya hilo tukio ni Ngoswe kukamatwa na kufunguliwa kesi ya mauaji na hata kama atashinda anaweza kuishi jela kwa muda wa kutosha.

Swali la msingi hiyo gharama inalingana na hasara ya kuliwa mke na huyo jamaa? Huoni kuwa atakuwa amepata hasara mara mbili ya kuliwa mke na kisha kusota jela kwa kosa ambalo linahitaji subira na busara ndogo tu kuliepuka? Huoni kuwa atakuwa ametoa kafara kubwa sana ya maisha yake kwa sababu ambazo angeweza kabisa kuziepuka? Atakuwa siyo tu amemkosa mke, bali pia watoto, kazi na maisha yake ya baadaye ambayo yangeweza kuwa bora zaidi.

Mimi naamini kuwa ikiwa mke wako atakufikisha kwenye hatua ya kunuia kuwadhuru watu kwa sababu ya yeye ku-misbehave basi huyo mke siyo riziki ni bora uanze maisha upya usonge mbele. Mimi siyo wale wanaoamini kuwa lazima upigane na kila mtu ili kulinda kinachoitwa ndoa au mapenzi ambacho ukiangalia kwa makini sio kitu bali ni hisia tu ambazo zinaweza pia kubadilika. Ndio maana wengine wanaongelea mstari mwembaba kati ya penzi na chuki ambao busara inatuelekeza kuuzingatia tunapofanya maamuzi yanayogusa maisha yetu.

Ni mtazamo wangu tu.
 
Nakupigia salute mara 100 dada uzi wako umetulia
Mundu mimi nina jinsia ya kiume na nina umri wa kati ya miaka 40 na 45. Hivyo ni mtu mzima kwa mazingira na viwango vyetu vya Tanzania - yaani mimi siyo kijana tena. Nimekulia na kusomea vijijini kwa muda mrefu huku mjini nimekuja kwa sababu ya imu ya juu na hatimaye kazi tu. Ila mpaka sasa nina zaidi ya miaka ishirini ya kuishi mjini mfululizo. Hivyo nina uzoefu mzuri tu wa maisha ya kijijini na mjini.

Ukiwa mtu mzima hasa ambaye umeoa unajifunza jambo moja la msingi sana ambalo vijana wengi hawalijui kwenye maisha na mahusiano nalo ni SUBIRA na TAFAKURI ya kina kabla ya kufanya maamuzi. Hasa yale maamuzi ambayo yanaweza kubadilisha mustakabali wa maisha yako kwa usiku mmoja. Chukulia Ngoswe.120 anaamua kumtafuta, kumfahamu na kisha na kumdhuru huyo mwizi wake baada ya kumwekea mtego wa kumnasa akiwa na mkewe. Bahati mbaya huyo mwizi wake anakufa au kujeruhiwa vibaya. Moja ya matokeo ya hilo tukio ni Ngoswe kukamatwa na kufunguliwa kesi ya mauaji na hata kama atashinda anaweza kuishi jela kwa muda wa kutosha.

Swali la msingi hiyo gharama inalingana na hasara ya kuliwa mke na huyo jamaa? Huoni kuwa atakuwa amepata hasara mara mbili ya kuliwa mke na kisha kusota jela kwa kosa ambalo linahitaji subira na busara ndogo tu kuliepuka? Huoni kuwa atakuwa ametoa kafara kubwa sana ya maisha yake kwa sababu ambazo angeweza kabisa kuziepuka? Atakuwa siyo tu amemkosa mke, bali pia watoto, kazi na maisha yake ya baadaye ambayo yangeweza kuwa bora zaidi.

Mimi naamini kuwa ikiwa mke wako atakufikisha kwenye hatua ya kunuia kuwadhuru watu kwa sababu ya yeye ku-misbehave basi huyo mke siyo riziki ni bora uanze maisha upya usonge mbele. Mimi siyo wale wanaoamini kuwa lazima upigane na kila mtu ili kulinda kinachoitwa ndoa au mapenzi ambacho ukiangalia kwa makini sio kitu bali ni hisia tu ambazo zinaweza pia kubadilika. Ndio maana wengine wanaongelea mstari mwembaba kati ya penzi na chuki ambao busara inatuelekeza kuuzingatia tunapofanya maamuzi yanayogusa maisha yetu.

Ni mtazamo wangu tu.
 
Kiukweli hii issue inauma sana!! Kwa jinsi ulivyoandika wengine tunaweza kuona jinsi ulivyoumia. Kuna mtu kasema eti ni kosa lako la kutomfuatilia mkeo ndo maana kakusaliti. Hii sio kweli. Mkeo anaweza kukusaliti hata kama you behave like an angel to her. Wanawake ni viumbe dhaifu katika suala hili la kutongozwa. Wewe mwanamke unaesoma ujumbe huu unaguna hujawahi tu kubanwa katika mazingira flani na jamaa amabae ni mtongozaji hodari, utajishangaa nguvu zinakuishia!! Three women wameshaconfide namie jinsi walivyojikuta wanatoa vitu bila kujitambua. Believe me!!

Ushauri wangu:
Amua kumsamehe mkeo kwani wanawake ni viumbe dhaifu. Sio kwamba alipanga kwamba siku moja atakusaliti lakini mazingira yalichangia afnaye hvyo. Pia kukiri kwake inaonesha yuko tayari kuwa responsible kwa makosa hayo
Sasa basi mpe masharti yafuatayo kama akikubali muendelee:
Aache hiyo kazi ya ualimu Kibaha arudi Dar au wewe uhamie Kibaha/Kibamba musihi pamoja
Msijamiiane hadi baada ya kupima ngoma(VVU) sasa na baada ya miezi 3. Majibu yakiwa safi muendelee na ngono
Mweke mkeo kwenye surveilance kama akirudi tena ndoa iishie hapo

Just give her a second chance but put her under surveilance!!
 
Kama hili umesamehe basi hata ukimfumania kwa sita utasamehe tu ,mtoto ana lelewa na mama kupitia baba hata ukimbadili mama atalelewa tu
huyo si mkomavu wa maisha atarudia tu kosa as kama aliplan kuhama ili ampe kwa uhuru tambua ya kwamba anampenda zaidi
achana nae japo najua kifua cha kumuacha huna na itakuuma jitaidi umuache mapema kwani akirudi chini ni mpaka mtaani kwenu atagawa uroda kama tunaowashuhudia majirani zetu
 
Wengine tuna hasira kali!dooooooh! Waislamu hapo angekuwa na option b.
Nakushauri ulinganishe na tabia yake kabla hujampata, amebadirika au alikuwa hivyo, linganisha kifo cha kujitakia kwa maradhi eg ukimwi na penzi,ukichagua Ukimwi mrudie,mambo ya ndia magumu sana sana,wanaojidai mabingwa nawapongeza,mimi Kunguru mwoga!
 
Mkuu pole sana kwa yaliyokusibu.
Kama ni mimi ningefanya maamuzi magumu potelea mbali liwalo na liwe napiga chini fasta. jamaa inaonekana alikuwa anainywea viroba mapaka ikalegea mwezi tu..
Kila ukitaka kuDO ukikumbuka jamaa alivyokuwa anamkunja mkeo ngoma inalala, hata kukiwa na msiba unaogopa kumruhusu unajua lijamaa linamsubiri, usipompata kwenye sim utafikiri jamaa anagonga.
kwahiyo kuliko kuishi kwa kihoro namna hii ndio maana mimi ningevunja mtandao.
 
Mundu mimi nina jinsia ya kiume na nina umri wa kati ya miaka 40 na 45. Hivyo ni mtu mzima kwa mazingira na viwango vyetu vya Tanzania - yaani mimi siyo kijana tena. Nimekulia na kusomea vijijini kwa muda mrefu huku mjini nimekuja kwa sababu ya imu ya juu na hatimaye kazi tu. Ila mpaka sasa nina zaidi ya miaka ishirini ya kuishi mjini mfululizo. Hivyo nina uzoefu mzuri tu wa maisha ya kijijini na mjini.

Ukiwa mtu mzima hasa ambaye umeoa unajifunza jambo moja la msingi sana ambalo vijana wengi hawalijui kwenye maisha na mahusiano nalo ni SUBIRA na TAFAKURI ya kina kabla ya kufanya maamuzi. Hasa yale maamuzi ambayo yanaweza kubadilisha mustakabali wa maisha yako kwa usiku mmoja. Chukulia Ngoswe.120 anaamua kumtafuta, kumfahamu na kisha na kumdhuru huyo mwizi wake baada ya kumwekea mtego wa kumnasa akiwa na mkewe. Bahati mbaya huyo mwizi wake anakufa au kujeruhiwa vibaya. Moja ya matokeo ya hilo tukio ni Ngoswe kukamatwa na kufunguliwa kesi ya mauaji na hata kama atashinda anaweza kuishi jela kwa muda wa kutosha.

Swali la msingi hiyo gharama inalingana na hasara ya kuliwa mke na huyo jamaa? Huoni kuwa atakuwa amepata hasara mara mbili ya kuliwa mke na kisha kusota jela kwa kosa ambalo linahitaji subira na busara ndogo tu kuliepuka? Huoni kuwa atakuwa ametoa kafara kubwa sana ya maisha yake kwa sababu ambazo angeweza kabisa kuziepuka? Atakuwa siyo tu amemkosa mke, bali pia watoto, kazi na maisha yake ya baadaye ambayo yangeweza kuwa bora zaidi.

Mimi naamini kuwa ikiwa mke wako atakufikisha kwenye hatua ya kunuia kuwadhuru watu kwa sababu ya yeye ku-misbehave basi huyo mke siyo riziki ni bora uanze maisha upya usonge mbele. Mimi siyo wale wanaoamini kuwa lazima upigane na kila mtu ili kulinda kinachoitwa ndoa au mapenzi ambacho ukiangalia kwa makini sio kitu bali ni hisia tu ambazo zinaweza pia kubadilika. Ndio maana wengine wanaongelea mstari mwembaba kati ya penzi na chuki ambao busara inatuelekeza kuuzingatia tunapofanya maamuzi yanayogusa maisha yetu.

Ni mtazamo wangu tu.

Umenena vyema Tata...narejea palepale...japokuwa umesahau msononeko wa ndugu yetu hadi ameamua kuyaleta haya mambo hadharani. Ingawa naheshimu mawazo yako kuwa, kwakuwa yule dada ni mtu mzima...mwanaume hawezi kumlinda kama kuku...na mambo aliyofanya ni kwa hisia zake mwenyewe na alifanya bila kushurutishwa!!

Ila kuna msemo wa kikwetu unasema "Mke/mume wa mtu ni sumu". Nadhani msemo huu una maana kubwa zaidi ya kuacha wazinzi wanaochukua wapenzi yaani wake ama waume zaa watu waondoke bila ya kuona ama kujutia ubaradhuli wa matendo yao...
 
Umenena vyema Tata...narejea palepale...japokuwa umesahau msononeko wa ndugu yetu hadi ameamua kuyaleta haya mambo hadharani. Ingawa naheshimu mawazo yako kuwa, kwakuwa yule dada ni mtu mzima...mwanaume hawezi kumlinda kama kuku...na mambo aliyofanya ni kwa hisia zake mwenyewe na alifanya bila kushurutishwa!!

Ila kuna msemo wa kikwetu unasema "Mke/mume wa mtu ni sumu". Nadhani msemo huu una maana kubwa zaidi ya kuacha wazinzi wanaochukua wapenzi yaani wake ama waume zaa watu waondoke bila ya kuona ama kujutia ubaradhuli wa matendo yao...

Nimezingatia haswa msononeko wa huyo ndugu na mara nyingi katika msononeko wa aina hii watu hufanya maamuzi ambayo wanakuja kuyajutia baadaye. Hivyo siyo vyema sana kumshauri afanye mambo ambayo yanaweza kumpeleka kubaya na moja wapo ni hili la kumtafuta mzinzi wa mke wake ili alipize kisasi. Huwezi kujua kisasi atakachoamua kulipiza kitakuwa na ukubwa gani hivyo ni vyema pia kumwonesha upande wa pili wa shilingi ili afanye maamuzi sahihi kwa kuzingatia maisha yake na familia yake inayomtegemea.

Nautambua msemo huo wa kiswahili kuwa "Mke/mme wa mtu ni sumu". Ni msemo mpana ambao unaweza kutafsiriwa kumaanisha kitu chochote ikiwemo kuua mtu anayefumaniwa na mke wa mtu. Ila pia msemo huo unaweza kutafsiriwa kuwa kutembea na mke/mme wa mtu ni sumu kwa ndoa yao - yaani kunaweza kusababisha ama kuvunjika kwa ndoa au maambukizi ya magonjwa kama ukimwi. Hivyo ni wajibu wa mtu anayeutafsiri kuzingatia faida na hasara za uamuzi wowote atakaoamua kuuchukua.
 
Nakupigia salute mara 100 dada uzi wako umetulia

Kashata ntake radhi. Mimi nimeshasema ni wa jinsia ya kiume (yaani mwanaume wa kijijini) tena umri umeshasogea wewe unaongelea mambo ya dada!!!. Nakushauri uongeze umakini kidogo wakati wa kusoma.
 
Kashata ntake radhi. Mimi nimeshasema ni wa jinsia ya kiume (yaani mwanaume wa kijijini) tena umri umeshasogea wewe unaongelea mambo ya dada!!!. Nakushauri uongeze umakini kidogo wakati wa kusoma.

Yaani huyo Kashata hata mie nimemshangaa...maana umejitambulisha vyema tena katika sentensi ya kwanza tu lakini yeye anang'ang'ania tu...hahaha
 
pole sana kaka yangu, hayo ni mapito 2! Mwombe Mungu akupe hekima ili uweze kuongelea matatizo yanayowakibili wewe na mkeo na kuoata muafaka.
 
Mkuu this is so paining, nimepitia comments za members humu ,to be honest naomba tu uzingatie comments za [HASHTAG]#tata[/HASHTAG] jamaa kweli ni mtu mzima, ushauri wake nimeupenda sana . Kabla ya kufanya maamuzi plz tulia pitia pitia Haya Mara tano ushauri wa ndugu yetu tata then fanya maamuzi sahihi
 
Inaumiza sana roho kwa jinsi ulivyoelezea hisia zako. Mpaka hapo ulipofikia ingekuwa ni maamuzi ya haraka ungeshachukua. Kukupa pole kila mtu atasema pole japo haisaidii kivile. Sitaki kukukatisha tamaa kuendelea kuishi na mkeo na unaweza kumsamehe hata kama hujafanya hivyo japo kitakachofuata hutokaa umwamini entirely katika mahusiano yenu. Kwa kuwa unaishi naye usiwekeze sana katika kumwamini ni muda tu atatulia atarudi huko huko kwa mbinu mpya just ignore mambo yake kila mtu aishi kwa life style yake kama unapenda bado kuendelea kuwa naye. Jambo moja tambua kuwa chozi ni silaha kubwa sana kwa mwanamke. Anapolia anakuvuta uingie ktk hisia zake kuwa anaumia lakini mwisho wa siku anajisahau na kurudia kosa lilelile. Kwako utaliona kosa ila kwake anaona kama kawaida. Usionyeshe kuumia sana kwake wala hatakaa akuhurumie pindi atakapokuwa na mahusiano ya nje. Niaminie hatokaa akuambie sababu za kiukweli za kutoka nje ya ndoa zaidi ya kukudanganya. Ikiwa umeamua kuendelea naye kuwa na mapafu ya farasi tu akiwa kwako ni wako ila nje kumegwa ni asilimia kubwa hutakaa upate stress. Ndivyo wanwake wengi walivyo. Fikiria mpaka anpata ijasiri mpaka wa kukulaghai anaenda kuishi kibaha alishawishika kiasi gani. Kama alishawishika kwenye gari akatongizwa akakubali hapo atakaa muda tu usahau anarudia tabia yake. Mara nyingi huwa hawa watu hatuwajui vizuri mienendo yao ilikuwaje kabla hatujaishi nao. Tuliza akili yako endelea na shughuli zako mpe msimamo wako ukiendelea kuonyesha unamdekea kuonyesha unaumia wewe zaidi ya yeye aliyekutenda ataendelea kuutesa moyo wako. Ni hayo tu mkuu.
 
Inaumiza sana roho kwa jinsi ulivyoelezea hisia zako. Mpaka hapo ulipofikia ingekuwa ni maamuzi ya haraka ungeshachukua. Kukupa pole kila mtu atasema pole japo haisaidii kivile. Sitaki kukukatisha tamaa kuendelea kuishi na mkeo na unaweza kumsamehe hata kama hujafanya hivyo japo kitakachofuata hutokaa umwamini entirely katika mahusiano yenu. Kwa kuwa unaishi naye usiwekeze sana katika kumwamini ni muda tu atatulia atarudi huko huko kwa mbinu mpya just ignore mambo yake kila mtu aishi kwa life style yake kama unapenda bado kuendelea kuwa naye. Jambo moja tambua kuwa chozi ni silaha kubwa sana kwa mwanamke. Anapolia anakuvuta uingie ktk hisia zake kuwa anaumia lakini mwisho wa siku anajisahau na kurudia kosa lilelile. Kwako utaliona kosa ila kwake anaona kama kawaida. Usionyeshe kuumia sana kwake wala hatakaa akuhurumie pindi atakapokuwa na mahusiano ya nje. Niaminie hatokaa akuambie sababu za kiukweli za kutoka nje ya ndoa zaidi ya kukudanganya. Ikiwa umeamua kuendelea naye kuwa na mapafu ya farasi tu akiwa kwako ni wako ila nje kumegwa ni asilimia kubwa hutakaa upate stress. Ndivyo wanwake wengi walivyo. Fikiria mpaka anpata ijasiri mpaka wa kukulaghai anaenda kuishi kibaha alishawishika kiasi gani. Kama alishawishika kwenye gari akatongizwa akakubali hapo atakaa muda tu usahau anarudia tabia yake. Mara nyingi huwa hawa watu hatuwajui vizuri mienendo yao ilikuwaje kabla hatujaishi nao. Tuliza akili yako endelea na shughuli zako mpe msimamo wako ukiendelea kuonyesha unamdekea kuonyesha unaumia wewe zaidi ya yeye aliyekutenda ataendelea kuutesa moyo wako. Ni hayo tu mkuu.
Mkuu hii si ilikuwa tangu 2012 hadi leo si atakuwa alishafanya maamuzi?
 
Mi nimeelewa tu hapo ' nimeongea naye kwa upole nikiwa nimemkumbatia'. Kosa kubwa la mkeo nikukubali amecheat tena mkiwa kitandani. Alipaswa akatae na ajirekebishe asirudie.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom