Inabidi iliingilie kati hiliNa serikali imekaa kimya
hivi hii roho mbaya umeianza lini ndugu yangu,watatuumiza sana Hawa wanaumeMpe stress tu mbona utamuoea huruma atavoisha!!
anza kula vitoto tu hakuna namna , wakinenepa wananenepa kweli kama minguruwe , siushamuoa kwani ana cha kupoteza? kuna shida sana hawa wake zetu wa kiswahili, ulaya huwezi kukuta janamke kama litembo na kianaume kiduchuuuuu
Usiniharibie kwa padre, pita hukooAah aisee acha nije pm nijionee
Na PGO haikuzingatiwa kabisaPicha iko wapi?
Uzi wako unakosa chain of custody, relevancy na competence tunachangiaje sasa
Wanayafanyaje sasa ayo makalio?Si mnapenda makalio makubwa?
.Wamama wa zamani hayatetemeki. Tuko very original.
babuuh una nn wee?Milioni tatu umekuwa kuku. Mahari ya mjukuu wa babu ni kuanzia 10m. Kama hawana nakuoa mwenyewe
Umeshapata jibu la sababu ya kunenepa.Shabaaaash! Habarini wanajukwaa.
Mke wangu ana muda usio mrefu tangu ajifungue na anakaribia kuacha kunyonyesha sasa kwani mtoto ameshakuwa mkubwa.
Tatizo ni kuwa nilimuanzishia diet ya kurudisha virutubisho kwani hili dume lilikuwa linanyonya mno so alipungua kiasi. Sasa amenenepa kuanzia matiti, na hasa makalio japo mwili wote kanenepa.
Jpili mchana tulikuwa home, kama ada, tukaanza kutaniana vizuri tu, tulikuwa on bed ila not for sex at that instant, kuna kitu nikamuambia akachukia japo utani, akanikalia, kutokana na uzito mkubwa sikuweza kuinuaka, nilikuwa napumua vizuri ila kujitoa ilikuwa ngumu.
Akaniambia "yaani leo nahakikisha nakutegua nyonga", nimemnukuu. Yaani kunenepa kwake anafanya ni kama silaha? Nikamlegeza kwa maneno matamu hatimaye akainuka. Neno lenyewe nililomuambia ni kuwa kanenepa mno atakuwa mzito kwenye sex.
Nimepanga kumfanyisha diet na mazoezi apungue kinguvu. Hivi vyakula gani ale? Ananisononesha mno huyu mama watoto wangu.!
Naona babu unaupiga mwingi,Milioni tatu umekuwa kuku. Mahari ya mjukuu wa babu ni kuanzia 10m. Kama hawana nakuoa mwenyewe
Hahahaha akili ni nyweleNaona babu unaupiga mwingi,
Mzigo umeuongezea thamani ili ukose wateja halafu ukausosomole mwenyewe.
Babu uko na miakili mingi sana.