Mke wangu amekutwa HIV+

Most definetely..Dini ni placebo moja kali sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kajuaje kama ni muathirika ndani ya muda mfupi ? hadi na dawa anatumia au alijua kipindi cha ujauzito ? we hukwenda nae hospital ? mengine ntauliza baada ya kujibiwa
 
Shida pia ni kwamba ukiwa kwenye ART plan kupata shida ya figo na ini ni kawaida..

So tusiubeze sana UKIMWI..complication zake bado zinasumbua sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninavyowajua wanawake kama angekuhisi tu kwa 100% kwamba wewe ni chanzo cha hayo matatizo mpaka muda huu unapo-type hapa angekuwa ameshaitisha vikao siyo chini ya 10 upande wa familia yako na familia yake na angekutishia hata kukupeleka mahakamani,nikupe pole kwa matatizo haya na upo uwezekano hata mtoto unayelea siyo damu yako.

Mshukuru Mungu umetoka salama kama uchumi unaruhusu mpime mtoto DNA kama siyo damu yako mwambie ampelekee baba yake na huyo huyo amuowe.
 
Pole sana. Nimewai siku moja kuongea na mtaharamu wa Virus na tabia zao. Aliniambia kuwa kuna case nyingi Africa watu kuonekana kuwa wana Virus vya HIV wakati sio Kweli. Hivi vipimo vya Rapid Test (un gold na jamaii yake) utoa majibu as if ni HIV+ ata kwa magonjwa mengine yaani kuna aina ya magonjwa ambayo kama mtu anayo akipima HIV ataonekana anao.Yeye kwa Ushauri alisema kuna aja Serikali ya Tanzania kuwa na mahabara mahususi ya Virology ambayo ingesaidia kuondoa kadhia hii.Yeye kwa maoni yake amesema kuna mamia ya watu wanaishi na hofu/,kula Dawa za HIV japo kiukweli awana HIV .bali ni ufinyu wa Vipimo vinavyotumika hapa nchini .Ata hapa hawa watafiti wamethibitisha hilo futialia hapa
 
Mkuu hio ya yellowish skin ni dalili ya Hepatitis, jaribuni kwenda kupima na Hepatitis...
pole sana mkuu...
 
kajuaje kama ni muathirika ndani ya muda mfupi ? hadi na dawa anatumia au alijua kipindi cha ujauzito ? we hukwenda nae hospital ? mengine ntauliza baada ya kujibiwa
Kwa maelezo yake Amegundu miezi sita iliyopita ( Yaani mwezi wa Nne huko). Miezi nane baada ya kujifungua?!
 
pamoja na kukimbilia huko hakuna alichopata zaid ya kupotezewa muda na kuombewa maombi ya uongo(which is useless) lkn chaajabu kaona JF ndio sehem sahihi ameomba ushaur na kwel anasaidika(sehem sahihi),/pia ilimpasa awatafte wanasaikolojia, ama wazee anaowaheshimu, hawa wangeweza pia kumpa somo na kumtia moyo..kanisa&msikit ni sehem hatar kwa maisha ya mtu(ukwel mchungu)
 
Hapana.
Kwa kufanya hivi amepunguza kidogo mzigo wa moyoni na kichwani.

Anahitaji counselling haraka sana. Anaweza kufanya kitu kibaya muda wowote.

Kuna vitu kama havijakufika unaweza usivielewe. Nilifanya tukio natamani kuongea na mwanangu wa miaka mitatu nimwelezee anishauri ( kuongea inasaidia sana) japo kuna wengine ukiwaelezea utajutia sana hicho kitendo na kuongeza maumivu.

Heaven Sent njoo utoe ushauri na Faraja huku!!!
 
Pole sana, usichukue maamuzu ya haraka kwani mwenzio baada ya kugundua kaathirika aliamua kukulinda angeweza kuhakikisha na wewe update ili muwe ngoma draw ingawa alifanya makosa kukuficha

Ktk hili hakuna excuses obviously kuna mazingira ya kuvunja uaminifu kwenye mahusiano yao aliyofanya huyu mwanamke,inaumiza sana kama mwanaume unatoka kutafuta maisha ya kesho ya familia yako huku nyuma mwanamke anafanya upumbavu huu.

Maamuzi ni muhimu yachukuliwe mapema apime mtoto kama wake siyo wake amfukuze aende kwa aliyemzalisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…