Mke wangu ameanza kuwa bonge namimi sipendi mabonge

Mke wangu ameanza kuwa bonge namimi sipendi mabonge

Kazanazo

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2023
Posts
5,557
Reaction score
8,195
Wakuu licha ya kumpendea tabia na akili yake ya maisha huyu manzi pia nilimpenda kutokakana na umodo wake yani alikuwa portable mkao wowote anakaa. Sasa naona anavimba kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba umbo lake zuri kwangu linapotea na kuwa bonge yaani ananenepeana

Mazoezi ya kutembea anafanya kwakuwa tunapofanya kazi na tunapoishi kuna umbali kidogo huwa tunaenda kwa miguu na kurudi kwa miguu hili tunafanya kama zoezi ila bado haisaidii kitu. Pia sio watu wa kula vyakula vya mafuta sana

Hebu nipeni ushauri wadau nifanyeje na kwa wadada pia ushauri wenu muhimu mnafanyaje kuendelea kubaki mamodo siku zote
 
Mazoezi ya kutembea anafanya kwakuwa tunapofanya kazi na tunapoishi kuna umbali kidogo huwa tunaenda kwa miguu na kurudi kwa miguu hili tunafanya kama zoezi ila bado haisaidii kitu. Pia sio watu wa kula vyakula vya mafuta sana
Punguza kula wanga (Wali na Ugali) na ujikite zaidi kula Viazi vitamu, magimbi, maboga, ndizi, nyama, mayai na mboga za majani.

Pili acheni kabisa matumizi ya Sukari (Chai) na mlo wote wa asubuhi achaneni nao, kwasiku muwe mnakula mara mbili zinatosha kabisa, na jioni hakikisheni mnakula around saa mbili usiku.

Akifanya haya, atakuwa amepunguza asilimia 70% za tatizo lake.

Be a Man, msimamie kwenye kuyatimiza hayo.
 
IMG-20250807-WA0222.jpg
 
Wakuu licha ya kumpendea tabia na akili yake ya maisha huyu manzi pia nilimpenda kutokakana na umodo wake yani alikuwa portable mkao wowote anakaa. Sasa naona anavimba kwa kasi ya ajabu kiasi kwamba umbo lake zuri kwangu linapotea na kuwa bonge yaani ananenepeana

Mazoezi ya kutembea anafanya kwakuwa tunapofanya kazi na tunapoishi kuna umbali kidogo huwa tunaenda kwa miguu na kurudi kwa miguu hili tunafanya kama zoezi ila bado haisaidii kitu. Pia sio watu wa kula vyakula vya mafuta sana

Hebu nipeni ushauri wadau nifanyeje na kwa wadada pia ushauri wenu muhimu mnafanyaje kuendelea kubaki mamodo siku zote
Na bado
 
Punguza kula wanga (Wali na Ugali) na ujikite zaidi kula Viazi vitamu, magimbi, maboga, ndizi, nyama, mayai na mboga za majani.

Pili acheni kabisa matumizi ya Sukari (Chai) na mlo wote wa asubuhi achaneni nao, kwasiku muwe mnakula mara mbili zinatosha kabisa, na jioni hakikisheni mnakula around saa mbili usiku.

Akifanya haya, atakuwa amepunguza asilimia 70% za tatizo lake.

Be a Man, msimamie kwenye kuyatimiza hayo.
Ahsante kwa ushauri
 
Back
Top Bottom