Mke wangu ame hack simu yangu

senkoP

Senior Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
180
Reaction score
207
Mke wangu ame hack simu yangu kila jambo ninalofanya anajua nifanyeje?

Mapenzi yamepungua kutokana na yeye kudai kwamba nina mawasiliano na mademu wengi.

Sasa nashindwa la kufanya ...yeye chakushangaza hajawahi kushika simu yangu na hatuishi pmj kwa sasa kwa sababu za kikazi lkn kila kinachofanyika kwenye simu ana sema anajua na nimekuja kuona kwamba ni kweli anajua.

Sasa sijui dhumuni lake ninini?
 
Hiyo ni dalili mbaya kuna uwezekano mkubwa anakucheat hivyo anadhani na wewe unafanya hivyo,mfuatilie na yeye alafu ulete mrejeaho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…