Mke wangu aliyekataa kubeba mizigo

Mke wangu aliyekataa kubeba mizigo

mkuu ttz lako hasa ni nini? mke kuondoka? vitu vyako? au bata wawili? funguka bana!
 
dada mbona una akili sana
Apana mkuu nimepita mengi tuu kwenye maisha,hakuna kitu kibaya kama kumdhulimu mtu jasho lake,
kama anataka aombe bata kitu gani aombe naomba unipe bata au nimekuja kuchukua vitu vyangu unaingia ndani unachukua
vitu vyako mdogo mdogo unaondoka zako,ili hata kesho mkikutana njiani hata habari mtaulizana au ukumkuta mwenzio
ameanguka hata barabarani anaweza kukusaidia,lakini sio uchukue vitu kibabe naugomvi ampe tuu...
 
kaongee na wazee wake na ukienda nenda na wasimamizi wenu wa ndoa
 
Sasa inategemea na vitu ulivyobeba mkuu,utumbo robo,nyanya za 500 na kitunguu kimoja unataka upokewe?
 
sasa mkuu unacheka kitu gani?
sasa mkuu unacheka kitu gani?
bataz.JPG
bata.jpg
 
mkuu ttz lako hasa ni nini? mke kuondoka? vitu vyako? au bata wawili? funguka bana!
Mke kuondoka so issue,issue ni huku kujakuja home na kubeba vitu,wazazi wake inaonekana wapo upande wake kwan juz alikuja na gari la babake.kuhusu kuleta bibi mwingine siyo rahisi maana ni ndoa kabisa ya kanisan.
 
pole mkuu aisee... we mwache abebe kila atakacho uone mwisho wake ni nini? samahani lakini hivi mnapataga wapi watu wanamna hiyo aisee?
 
pole mkuu aisee... we mwache abebe kila atakacho uone mwisho wake ni nini? samahani lakini hivi mnapataga wapi watu wanamna hiyo aisee?
unakutana naye akiwa mzima na hajaota mapembe,akishakula ya mbuzi ndo hivyo mapembe kibao
 
unakutana naye akiwa mzima na hajaota mapembe,akishakula ya mbuzi ndo hivyo mapembe kibao
mkate mapembe .. halafu ndoa ya kanisani si kifungo kama amuelewani washirikishe viongozi ikishindikana muachane ... muwe mnatongoza wanawake wenye akili tatizo mnakaznaga na mambo ya nje mkome
 
mkate mapembe .. halafu ndoa ya kanisani si kifungo kama amuelewani washirikishe viongozi ikishindikana muachane ... muwe mnatongoza wanawake wenye akili tatizo mnakaznaga na mambo ya nje mkome
sasa mkuu,utamjua kama amefcha mapembe?anakuwa kama muungwana vile akishaingia tu ndani balaa,mwanamke anatukana Huyo balaaaa,Kule kwetu bara hawawez kuelewa
 
nishauri mkuu usiishie kusema pole,nshaambiwa Nina Mke mwingine mbele ya watoto,Mimi Malaya, nk
mwanamke wa hivyo ni kumweka kando tu aisee.. kama hana adamu kwa mimi siwezi kuishi na mtu asiyekuwa na adamu na ahajui aseme nini kwa wakati gani sababu naweza mjeruhi .. kama mimi ni wewe ningefanya machakato akae mbali na mimi nisije mtengua taya
 
mwanamke wa hivyo ni kumweka kando tu aisee.. kama hana adamu kwa mimi siwezi kuishi na mtu asiyekuwa na adamu na ahajui aseme nini kwa wakati gani sababu naweza mjeruhi .. kama mimi ni wewe ningefanya machakato akae mbali na mimi nisije mtengua taya
kimsingi mkuu nimeshaamua hivyo,semabnataka mawazo toka angle tofauti,mwanzo nlutaka niondoke mimi
 
Back
Top Bottom