Mke wangu aliyekataa kubeba mizigo

Mke wangu aliyekataa kubeba mizigo

Huyo mkeo nae kauzu...hadi bata anabeba!!!
 
Mke kuondoka so issue,issue ni huku kujakuja home na kubeba vitu,wazazi wake inaonekana wapo upande wake kwan juz alikuja na gari la babake.kuhusu kuleta bibi mwingine siyo rahisi maana ni ndoa kabisa ya kanisan.


AHAHAHHA...POLEEE.
HIVI NDOA YA KANISANI MKE AKIONDOKA NDIO MUME HUOWI TENA?....UNAKUWA MUHUNI UNACHAPACHAPA KILA APITAYE MBELE YAKO?
ACHA HIZO...NENDA KAVUNJE NDOA RASMI KWA TARATIBU ZA SERIKALI KISHA OA NA YEYE AOLEWE MAISHA YAENDELEE...AU ULIKUWA UNAAMINI KATIKA KIFO KUWATENGANISHA....MKODIE MAJAMBAWAZI YAMKILL NDOA IVUNJIKE...AHAHAHAHAHAHA.
KUHUSU BATA USIJALI...MIE NINAO NITAKUGEA WAWILI UKITAKA KUFUGA TENA.

BUT POLE...MKE KAKUVURUGA MBAYA.....UNAHITAJI DOZI YA KIROBA AKILI IKUKAE SAWA LA SIVYO UNAWEZA KUOKOTA MAKOPO MSHKAJI.
 
kimsingi mkuu nimeshaamua hivyo,semabnataka mawazo toka angle tofauti,mwanzo nlutaka niondoke mimi

HAPO NILIPOBOLD NDIO PANAKUONDOLEA SIFA YA KUWA MUME SAHIHI WA KIAFRICA....MUAFRICA HUWA HAONDOKI NYUMBANI BALI WAZUNGU NDIO HUWA WANATIMULIWA NYUMBANI NA WAKE ZAO.

IKO HIVI....HUYO MAMA MUACHE AONDOKE..NA MBAYA ZAIDI KAMA ANAPEWA JEURI NA KIBURI NA WAZAZI AU FAMILIA YAKE MUACHE AKASHEE MUME NA MAMA YAKE. KUHUSU WEWE...FANYA MCHAKATO KAMA UNA WATOTO WADOGO WASOGEZE KWA BIBI YAO WALELEWE KISHA TAFUTA MSAIDIZI KWA MUJIBU WA BIBLIA (MUNGU AKAMLAZA ADAM USINGIZINI AKAMTENGENEZEA MSAIDIZI WA KUFANANA NAYE EVA) UKISHAMPATA INGAWA ITACHUKUA MUDA KIDOGO LAKINI USICHELEWE SANA UNAWEZA KUZOWEA MADEMU WA KUNUNUA UKAJA KUONA TABU KUFUGA WAKO.

ALIKUITA MALAYA MBELE ZA WATOTO?....WEWE NAYE HUNAGA MAJIBU MAGUMU KWA MASWALI MEPESI KAMA HAYO....MALAYA ANAOA MALAYA MWENZIE....TENA UNAMJIBU MBELE YA WATOTO AKITOKA HAPO AKAJITAFAKARI KUW WATOTO WAKE ALIOWAZAA WANAMJUA MAMA YAO MALAYA.

ANYWAY....CHANGANYA NA ZA KWAKO...MBAYUWAYU.
 
Muache achukue tu, na hata hiyo nyumba akihitaji mpe tu.
 
Mkuu hueleweki unataka nini?? Mwache achukue maana hujielewi
 
"miss chagga
Humu kila siku tunawaambua jamani sio kila msichana mzuri anafaa kuoa ona sasa anavyokutesa hadi unashindwa.kufanya maamuzi?? Yeye anakufanunyia hayo lkn wewe unadai eti kuoa mwingine ni ngumu coz ni ndoa ya kanisani.
Mwenzio kashaamua sasa we kalia hayohayo
 
Back
Top Bottom