balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 16,513
- 15,154
namsshukuru Mungu kwa maoni na ushauri wenu.
Anamsaidia ku packAndika vizuri haraka ya nini sasa?!
dada mbona una akili sanaAchukue tuu kama anaona vitamsaidia kwenye maisha yake hao bata na hata kama una mbuzi mpe,kama ameandikiwa No ni No tuu..
Ha ha ha ha daaa nimecheka had kupaliwaAna
Anamsaidia ku pack
Cjakuelewa badoNiliandika hapa, siku hiyo nilinunua matumizi ya home mama akakataa kubeba,alivyofika home akabamiza milango nakulala na alishaanza kulala mzungu 4,hatimaye aliamua kujikata kwao.
Chakushangaza kila siku anakuja home anabeba begi, vyombo na asilimia kubwa ya vitu alivyokataa kubeba kachukua na bata wangu wawili kachukua.
hahahahahahahahahahahahahahaha uwiiiiiiiiiiiiiiiNiliandika hapa, siku hiyo nilinunua matumizi ya home mama akakataa kubeba,alivyofika home akabamiza milango nakulala na alishaanza kulala mzungu 4,hatimaye aliamua kujikata kwao.
Chakushangaza kila siku anakuja home anabeba begi, vyombo na asilimia kubwa ya vitu alivyokataa kubeba kachukua na bata wangu wawili kachukua.
sasa mkuu unacheka kitu gani?hahahahahahahahahahahahahahaha uwiiiiiiiiiiiiiii
yaani nilipofika neno bata 2 nimecheka sana masikini jf na sijamuelewa pia hahahahizi familia za siku hizi ni majanga
yaani huyu kachukuliwa bata wawili tayari uzi jf..............kweli kazi ipo