Freelancer
JF-Expert Member
- Sep 22, 2008
- 2,965
- 2,141
Yule kishaolewa sasa hivi.Kuna mtoto binti wa Mugabe nakumbuka alipigwaga mtungo na Mmbongo na Mnigeria m1 hapo Singapore sijui hii inshu iliishiaga wapi.
Yule kishaolewa sasa hivi.Kuna mtoto binti wa Mugabe nakumbuka alipigwaga mtungo na Mmbongo na Mnigeria m1 hapo Singapore sijui hii inshu iliishiaga wapi.
Usinambie! Yule babu anavuta bangi!huyo mama na mumewe wote wanavuta bangi.
Hamna alimkuta huyo bi dada na wanawe Chatunga na Robert Jr. kwenye mazingira tata.Huyu mama Mugabe aliwahi kutuhumiwa kuwa mchepuko wa Gavana huko Zimbabwe, Labda huko SA waligombea mchepuko hotelini. Maumivu ya mguu ndo aende haotelini SA????
ndio anavuta pamoja mkewe grace.we unaona akili za kawaida zile..
Mama Kibaki alikuwa na sababu ya kumtandika vibao yule MC kwani alimtambulisha kwa kumwita jina la mchepuko wa Kibaki. Saa nyingine michepuko inatuzidi wanaume.yes alikuwa lucy!hahahha naikumbuakaga ile clip aliyoita waandishi wa habari kukanusha kuwa mumewe hana mke mwingine nje hahhahaha maskini kibaki anajiteteaaaa
Pia bado kwa mtu kama first lady kufanya mambo kama hayo si sawa. Kama watoto wana matatizo kwa nini apige malaya wanaojiuza? Angepiga watoto wake maana akiondoka watoto wataendelea na tabia hiyo kwa malaya wengine sababu wana hela.Hamna alimkuta huyo bi dada na wanawe Chatunga na Robert Jr. kwenye mazingira tata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliizima na yule binti ameolewa harusi kubwa sana Zimbabwe.Kuna mtoto binti wa Mugabe nakumbuka alipigwaga mtungo na Mmbongo na Mnigeria m1 hapo Singapore sijui hii inshu iliishiaga wapi.
Daah sikua nimejua mkuu.Waliizima na yule binti ameolewa harusi kubwa sana Zimbabwe.
Mtoto wa Mugabe kwa mke wake wa kwanza Sally alifariki kwahiyo yule binti ndiyo mtoto mkubwa wa MugabeDaah sikua nimejua mkuu.
Kwahiyo Mugabe hana mtoto na huyo maza wa kuzaa sio?Mtoto wa Mugabe kwa mke wake wa kwanza Sally alifariki kwahiyo yule binti ndiyo mtoto mkubwa wa Mugabe
Inategemea aliyekupiga nani.. Huyu ukikomaa na kesi wanatumwa CIO agents wa Zimbabwe kuyafanya maisha yako yawe magumu zaidi.... Si ulaya hii Africa. Ulaya kesi kama hizo unashinda lakini huku Africa kesi kama hiyo inayomhusu first lady achana nayo watakuzingua tu...kuna mwadili mmoja alipiga mwanafunzi wake wa chuo cha ualimu mambata kadhaa pale Katoke.
Mwanafunzi akamuwahi polisi akapewa Pf3 kilichotokea mwalimu alimuangukia mwanafunzi baada ya jamaa kukomaa kutaka kumfungulia kesi ya shambulio. Akaomba msamaha na punga akafungua.
Ukipigwa ni dili sana ulimwengu huu wa sheria kuwa acrobatic tu basi