johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,152
Unaweza kuthibitisha?Ana busara gani wakati mume wake ni katili hivyo Kama Kagame kwanini asismshauri
Unaweza kuthibitisha?Ana busara gani wakati mume wake ni katili hivyo Kama Kagame kwanini asismshauri
Ni kweli alitakiwa au anatakiwa amsalie mume wake.Lakini mume anaijua thamani au uwepo wa mke wake?Huyu mama ana mzigo mzito sana alio ubeba,maumivu anayoyapata kutokana na vilio na kelele za wananchi ni makubwa.Tumuonee hurumaAende amsalie na mumewe
Amsalie.....not msalimie...ukitaka kujua...refer 2 Clouds News ya saa moja na nusuKwani hawaishi pamoja?
Kuvumilia ndoa ya huyu mzee, kunahitajika maombi yasiyokoma. Si unaona watz miaka miwili tu wanaomba pooNampenda sana huyu mama. Ni mwanadamu mwenye hofu kubwa kwa Mungu na upendo wa kweli kwa wanadamu wenzie.
Kwa uungwana upi alio nao huyo mume? Tumfariji huyu mama,ana wakati mgumu sana huyu mamaNimeona akiombea wagonjwa nikajiuliza kwake hii huduma anatoaga?
hatuhitaji rais ambaye mshauri wake mkuu ni mkewe.Ana busara gani wakati mume wake ni katili hivyo Kama Kagame kwanini asismshauri
Anasema alizaliwa ocean road.....sasa alimtolea wapi.....eeeh hivi Roma ameshaachiwa?Huyu mama huyu!! Ni basi tu sielewi kwa nini coz namfaham tangu ualimu wake , ni mama mwenye hekima na busara sana tena ni mama wa sala sana .
UtanishtuaAnasema alizaliwa ocean road.....sasa alimtolea wapi.....eeeh hivi Roma ameshaachiwa?