Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli leo ameadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kutoa msaada Ocean

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli leo ameadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wagonjwa katika Taasisi ya Magonjwa ya Saratani ya Ocean jijini Dar es salaam na kutoa wito kwa Watanzania kusaidia watu wenye mahitaji. Akiwa hospitalini hapo, Mama Magufuli, amesema ameamua kuwatembelea na kuwafariji wagonjwa hospitalini hapo kwa kutoa msaada huo kwa kuwa yeye alizaliwa katika hospitali hiyo tarehe na mwezi kama wa leo ambapo pia alipata fursa ya kuwaombea afya njema wagonjwa wote na kuwatia moyo ndugu wanaouguza kuendelea na jukumu hilo zito
 

Attachments

  • Magufuli.jpg
    Magufuli.jpg
    17.8 KB · Views: 130
Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli leo ameadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kutoa msaada wa vitu mbalimbali kwa wagonjwa katika Taasisi ya Magonjwa ya Saratani ya Ocean jijini Dar es salaam na kutoa wito kwa Watanzania kusaidia watu wenye mahitaji. Akiwa hospitalini hapo, Mama Magufuli, amesema ameamua kuwatembelea na kuwafariji wagonjwa hospitalini hapo kwa kutoa msaada huo kwa kuwa yeye alizaliwa katika hospitali hiyo tarehe na mwezi kama wa leo ambapo pia alipata fursa ya kuwaombea afya njema wagonjwa wote na kuwatia moyo ndugu wanaouguza kuendelea na jukumu hilo zito


ila mama ni God fearing ila ndo basi tena.Hata sis CHADEMA tunajitahidi kutomsema vibaya mama yetu
 
Happy Birthday Incumbent First Lady Ms.Magufuli We wish you all long life and continue to Support Our President Jpm. On his Presidency Career
 
She is so different... yaan ana moyo fulani wa huruma. Si kama baba ubaya... na sito shangaa kama baba ubaya kama atakuwa ameisahau hii siku
 
Back
Top Bottom