Mke wa rafiki yangu


Kabla hujaandika huku ungeshamwambia kabisa,
Maana hatari kubwa, we mwambie Nimesikia Mkeo kaajiriwa shirika fulani ambalo FC wake ni wembe halafu tayari ni RED, so kama vipi mpime mkeo, nimemaliza tusilaumiane, Mjumbe hauawi"
 
mwambie haraka sana huyo jamaa yako...maana huyo mwanamke ukimuambia itazua mtafaruku na itaonekana we unamzibia riziki....mwambie kamada fastaajue kuhandle issue
 
hekima itumike unapomweleza ukweli
 
Chukua uwamuzi haraka wa kumwambia kabla hawajasuruhisha na kurudiana. Ukimwi noma wakuu
 
"Mpende rafiki yako kama nafsi yako, Manuu"
 
Tumia busara ya kumwambia kwa kuwa wamekaa muda mrefu kwenye utengano, ni vizuri wakapime kwanza afya zao
 
inafika wakati na wew ukue bado hujamwambia tuu wewe arifu utupe na mrejesho kabsa
 
Mkuu tupe mlejesho ulishughulikiaje hili swala
 
Duuh mweleze tu ukweli koz huondio urafiki wa kweli kabla haja pata majanga pia
 
Yaani kwa sasa uaminifu NI JANGA LA TAIFA. Wewe unayeenda kumwambia waweza kuta kuna mtu anajiandaa kuja kukwambia kuhusu mkeo. HAYA MAMBO HAYA...........

MWAMBIE ILI UMWOKOE-KAMA HATAKUELEWA, ACHANA NAYE NA URAFIKI UISHIE HAPO HAPO. AKIELEWA IT WILL BE TOO LATE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…