Mke wa mtu

Mke wa mtu

Ndio wale wale, kaolewa halafu kakuta mambo ya hovyo huko. Achana nae huyo atakuletea matatizo
 
Kama hatutakuja kukutolea heshima za mwisho basi utakuwa umeliwa Kabaang.
 
Kama hatutakuja kukutolea heshima za mwisho basi utakuwa umeliwa Kabaang.

heee heee heshima za mwisho au kuliwa 0713.. hell NO... nisham block kila sehem....
 
Tafuna mnofu huo, mwenzio kakumiss unambwela mbwela nini sasa?
Tafta chimbo zuri then kamtafune kwa uzuri kabisa!
Kwa ndoa za sikuhizi hakuna asiechapiwa period!
Msijifanye kumkalipia mshikaji wakati wengi wenu mnaongoza kwa michepuko!

Daaah kaka huogopi kuchezea sharubu za simba?
 
Huyo ni mjasiriamali.. Tego hilo na ukikamatwa hapolazima m moja ikutoke
 
Busara yako ni kubwa kijana...Hivi ndo namna watu tunavyotakiwa tuwe....huu ndo ushauri wa kufatwa...
 
Back
Top Bottom