willzkichaa
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 422
- 190
Lucky bastard.
"mke wa mtu hawara wa watu"
Harufu ya Tigo
chungu lakini dawa, hivi vimwanamke ndo vinavoolewa ila havijui kwanini vinaolewa shwain kabisa....Huu ndio ukweli unaouma
kimbia tena mbali sn kijana, balaaa linakunyemelea! hatariiiii!!
kweli kaka, noma tu, kijana atakuja kujuta huyoTena akunjuke Kama avatar yako..:hatari::hatari:
Mke wa mtu ni Sumu ya panya