Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

Mke wa mtu mtamu jamani, acheni tu...

mke wa mtu sumu ngoja mme wake akija kujua nadhani atakuja akule 0713
 
daah!!!!! Hii ni kweli,,,, kuna shemeji angu mkewe alikuwa anatoka nje ya ndoa,,, si akanogewa bhana....... Akaamua kufungasha virago na kuamia kwa 'nyumba ndogo dume'!!! Mume kurudi akakuta mke kesha sepa mapemaaaaaa! Na ameapa kumuadabisha huyo mwizi wake kwa udi na uvumba!

ni kweli kabisa mifano ipo mingi sana , yaani utakuta na dharau zinaongezeka hatari kabisa.............

huyo shemejio atulie tu ,utaadabisha wangapi?........... ila kama ametokea lile kabila maarufu la kaskazini ,ni hatari huyo mwizi ahesabu ipo siku risasi zitakuwa zake...
 
Hivi unadhani kwa sababu unatumia jina bandia hapa basi ni ngumu sana kukufahamu wewe ni nani na upo wapi?

Wana JF,,
Mwenzenu sikujua kama demu wangu ni mke wa mtu maana sijawahi kuona dalili yoyote ya kuashiria yeye ni mke wa mtu, (mf pete) mi nakaa Kisongo yeye Ngulelo hapa Arusha. Binti anayajua mambo si mchezo, ninajituma sana tuwapo kitandani.
Siku moja bwana, nikiwa namla, akaniambia: "Unanikamata kiukweli hadi nakosa hamu ya mapenzi kwa mme wangu..."
Ndipo nilipojua kama yeye ni mke wa mtu tena mtamu balaaa..
NAKUA MGUMU KUMUACHA,,,,
 
yeleuwiiiiiiiii , andaaa hela ya matibabu aisee chali. jamaa akijua atakujeruhi.
:disapointed::disapointed:
 
Wana JF,,
Mwenzenu sikujua kama demu wangu ni mke wa mtu maana sijawahi kuona dalili yoyote ya kuashiria yeye ni mke wa mtu, (mf pete) mi nakaa Kisongo yeye Ngulelo hapa Arusha. Binti anayajua mambo si mchezo, ninajituma sana tuwapo kitandani.
Siku moja bwana, nikiwa namla, akaniambia: "Unanikamata kiukweli hadi nakosa hamu ya mapenzi kwa mme wangu..."
Ndipo nilipojua kama yeye ni mke wa mtu tena mtamu balaaa..
NAKUA MGUMU KUMUACHA,,,,

Tena wa kwako atakuwa mtamu kuliko huyo...lini unaoa? maana anasubiriwa kwa hamu
 
Wana JF,,
Mwenzenu sikujua kama demu wangu ni mke wa mtu maana sijawahi kuona dalili yoyote ya kuashiria yeye ni mke wa mtu, (mf pete) mi nakaa Kisongo yeye Ngulelo hapa Arusha. Binti anayajua mambo si mchezo, ninajituma sana tuwapo kitandani.
Siku moja bwana, nikiwa namla, akaniambia: "Unanikamata kiukweli hadi nakosa hamu ya mapenzi kwa mme wangu..."
Ndipo nilipojua kama yeye ni mke wa mtu tena mtamu balaaa..
NAKUA MGUMU KUMUACHA,,,,

Unachokitafuta wewe ni kumwagiwa tindikali tu bac
 
Its just a matter of time. Arusha unauwawa. Hilo hakika nakiakikishia na halina ubishi . We andaa hela ya mazishi yako kabisa
 
Nilidhani umeshawatafuna hata 10 hivi

Ili upate comparison iliyo sahihi baina ya wake za watu na wanawake wa kawaida ni kundi gani ni 'tam' kama unavyodai

Na kibaya zaidi inaonekana ni huyo mmoja tu ambae una mahusiano nae

Tena ni mjinga sana huyo

Badala awe muwazi kwa mumewe ili arekebishe ndoa yake anarekebisha kosa kwa kufanya kosa

Halafu kwani wewe unadhani ni kitu gani mke wa mtu anacho ambacho wanawake wengine hawana?

Nshawapitia wawili, huyu kiboko. Kawafunika hata wasio na waume
 
Nshawapitia wawili, huyu kiboko. Kawafunika hata wasio na waume

Yaani wawili tu ndo unakuja hapa kusema!!!!!!!!!

Kuna watu wamewapitia kama 15 hivi na wamegundua hawana lolote ni bora wakatulia na wake zao!
 
Wana JF,,
Mwenzenu sikujua kama demu wangu ni mke wa mtu maana sijawahi kuona dalili yoyote ya kuashiria yeye ni mke wa mtu, (mf pete) mi nakaa Kisongo yeye Ngulelo hapa Arusha. Binti anayajua mambo si mchezo, ninajituma sana tuwapo kitandani.
Siku moja bwana, nikiwa namla, akaniambia: "Unanikamata kiukweli hadi nakosa hamu ya mapenzi kwa mme wangu..."
Ndipo nilipojua kama yeye ni mke wa mtu tena mtamu balaaa..
NAKUA MGUMU KUMUACHA,,,,

Endelea tu hadi siku na wewe utakapoolewa na watu wakakusifia utamu wako
 
Kila mla cha mwenzie na chake pia huliwaa,kwahiyo jitayarishe na wewe chako kitaliwa na yoyote yule...
yani hata vibaya huoni ndio kwanza unasifia kama mtamuu.. ivi huoni vibaya wala aibu kuongea hivyo?
ama kweli waso haya wana mjiwao...
 
Mkuu kweli unachekesha yaani unafurahia jambo baya, hebu jiweke wewe ndio mume wa huyo mama ungejisikiaje mara baada ya kujua kua mkeo anachukuliwa na flani na tena anajisifia.

mbona wanaume hiyo inawaumiza sana ? ni mara ngapi waume zetu wanagegeda wasichana kibao hatusemi kwenu linauma? siku hizi mwendo mmoja tu kula uliwe. basi ukigegeda huko na mimi huku nafanya mambo utajibeba aloooo aloooo tena mume wa mtu mtamu kweli. anakupa full mapenzi anayoyakosa kwa mkewe. vijinoti ndio usiseme.
 
mbona wanaume hiyo inawaumiza sana ? ni mara ngapi waume zetu wanagegeda wasichana kibao hatusemi kwenu linauma? siku hizi mwendo mmoja tu kula uliwe. basi ukigegeda huko na mimi huku nafanya mambo utajibeba aloooo aloooo tena mume wa mtu mtamu kweli. anakupa full mapenzi anayoyakosa kwa mkewe. vijinoti ndio usiseme.
Uaminifu kwenye mahusiano ni jambo la muhimu tena lapaswa kua kwa wote 2
 
Back
Top Bottom