Wana JF,,
Mwenzenu sikujua kama demu wangu ni mke wa mtu maana sijawahi kuona dalili yoyote ya kuashiria yeye ni mke wa mtu, (mf pete) mi nakaa Kisongo yeye Ngulelo hapa Arusha. Binti anayajua mambo si mchezo, ninajituma sana tuwapo kitandani.
Siku moja bwana, nikiwa namla, akaniambia: "Unanikamata kiukweli hadi nakosa hamu ya mapenzi kwa mme wangu..."
Ndipo nilipojua kama yeye ni mke wa mtu tena mtamu balaaa..
NAKUA MGUMU KUMUACHA,,,,
Muoe uwe mume wa pili!
mke wa mtu sumuuuu
Siku ukifumwa ukishapata nguvu uje hapa, utuambie ulichofanyiwa.
Nyumbani kwangu nina panya wengi sana
Naweza kutuia hiyo sumu kuwaulia?????????????????????????????
Nilishawahi kuona familia ya design hyo Njiro! Mwanamke na waume zake 2. Wanakaa flat moja! Flat ya juu mume 1 na ya chin mume wa pili na kila mmoja ana watoto wake! Walikuwa ni wahindi.
sasa hapo msamiati wa wivu haupo na sijui uhakika wa kila mwanaume na watoto wake wanajua vip wenyewe!
Kweli????
i gues u ar out of ur mind,angalia usije kuolewa na wanaume wenzio teteteee
ni hatari sana , ,,,, halafu hawa wanawake utamu ukiwanogea huwa hawachelewi kuharibu mara dufu huko kwa waume zao........