Mke wa mtu kanipa maumivu ya moyo

Mke wa mtu kanipa maumivu ya moyo

iron finger

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
358
Reaction score
221
Wakuu mmeamkaje??

Jamani mwenzenu hivi karibuni nilimpata mdada mmoja mzuri sana kiukweli alinipenda sana na mie nilimpenda pia
mwanzoni sikujua ila baadae nilikuja kugundua kuwa ni mke wa mtu
alijitetea sana na kudai kuwa aliogopa kuniambia kwa hofu ya kunipoteza
alinisihi sana nisimuache na pia akaahidi kuwa yupo tayari kuishi na mumewe kwa kuwa na mie nilimpenda sikuwa na jinsi zaidi ya kuendelea kula raha na dada huyu kwani anayajua mapenzi haswa na pia alikuwa akinisaidia sana kimaisha mpaka kufikia hatua ya kunipa mtaji wa biashara
lakini kwa muda mchache uliopita mwenzangu kabadilika sana nikimpigia simu hapokei na pia hana mapenzi na mimi tena hata nikimuomba pesa hanipi tena kama zamani
kusema ukweli naumia sana jamni hasa ninapokumbuka raha nilizopata kwake
ingawa ni mke wa mtu ila sipo tayari kumpoteza nataka nipiganie penzi letu lisife nipo tayari kwa mapambano na mumewe.
 
wewe kinakuuma tu kukosa pesa na raha wala huna time naye huyo.
 
hahhah umeamkia upande gani leo?hiv are you listening to yourself ryt now?yule ni mke wa mtu tayar ww tafta wako,afu bila aibu unasema ukimwomba hela anakupa,hivi yeye apewe na mumewe afu aje akupe ww,hiv unafikiria kweli?grow up wanaume bna mnajiaibisha,ameamua ku concerntrate na mumewe sasa shauri yake jifanye u are fytng for ua love afu mkagandane huko
 
jamani dhiki hii tabu sana ebu tuacheni kuendekeza dhiki bwana alicho kupa kinatosha me kifikiri utafurahi kwa kukupotezea kumbe unalalama kwa kukosa msaada eti unadai umekosa raha
 
Yani umeshajua ni mke wa mtu bado una lalamika hakupigii wala hapokei simu! Wewe ulimuoa?

Nadhani kinacho kuuma ni pesa anazo kupatia si mapenzi!

Nakushauri achana nae!
 
We endelea kujipendekeza uone watakavyokula 0713 yako. Ebu jaribu kufikiria mke wako wewe ndo awe anayafanya hayo halafu na wewe ujue. Ebu acha ujinga huo.
 
Kutopokea simu na kutojibu msg zako ndio salama yako,unachotafuta utakipata karibuni,endelea kulazimisha utaitwa hoteli nzuri na chumba utajiwe kitakachokukuta utajuta kuzaliwa!!!!
 
naona wewe unatafuta kugandana tu, huna lolote, songa mbele hata sisi wenzie ya aina hiyo yametukuta ila kwa kuogopa kugandana tukaachana nayo
 
Umariooo mbaya sana
kha unabembeleza kuhongwa
tena bila aibu unakuja kulia lia hapa
babu Asprin watu8 embu muje huku
mumshangae huyu mdogo wenu mariyooo
kwa taarifa yako mwenzio keshaopoa dogodogo mwingine aliyekuzidi viwango
 
Last edited by a moderator:
Du!!! Kwel ndoa ngumu,bora kuto kuoa,.m2 anajidai na mke wa m2 kama wake..
 
duh sasa unataka tukubembeleze uendelee naye ili uliwe kiboga?
 
embu piga picha huyo ndo angekua mkeo alaf kuna lijamaa linafaidi pembeni?..alaf linajiona lina haki as if ndo limeoa!..ungefanya nn?
 
Wakuu huyu dada aliniahidi kwa kiapo kabisa kuwa atamuacha mumewe aje tuishi wote sasa mimi lazima nifight kwa kila hali moyo unaniuma na ninaamini nna haki zote maana kiumbe alichonacho tumboni me ndio baba hawezi kunidanganya wala kunidhulumu nimeaga kwetu
 
Wakuu huyu dada aliniahidi kwa kiapo kabisa kuwa atamuacha mumewe aje tuishi wote sasa mimi lazima nifight kwa kila hali moyo unaniuma na ninaamini nna haki zote maana kiumbe alichonacho tumboni me ndio baba hawezi kunidanganya wala kunidhulumu nimeaga kwetu

wacha wewe na akifanya mchezo kwao hatababi hata panya mmoja!!!
Wewe umekosea kitu kimoja kulalamika kuwa ukimuomba hela hakupi
ha ha ukiona umeshindwa nenda LHRC AU TAMWA kudai mtoto wako
 
Mwanaume unalilia kutunzwa?? Agriishiii!!
Kuhusu mapenzi huyo ni mke wa mtu, achana nae.
Kuhusu kupewa pesa, fanya kazi mtoto wa kiume
 
Sasa na mtaji wa biashara ulishapewa, bado unaomba hela za nini? Tafuta mume uolewe utunzwe (namaanisha). Ukijisogeza kupigania penzi, mume wa huyo dada atakuoa mke wa pili.
 
Acha upuuzi na hizo obsessions zako. Kaoe wako.
 
Back
Top Bottom