Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,281
- 31,428
Sasa kama unamzunguamzia huyo sawa... WENGINE HAWAPO HIVYO... We mtu umekutananaye njiani akiwa anaruka njia au umemuowa baada ya kumpokonya mwenzio hapo unategemea nini?Mke wa mtu ambaye amezaa watoto wawili na huyo mume wake na anapete ya ndoa na uchumba.