mke wa mtu hanihongi tena

mke wa mtu hanihongi tena

iron finger

JF-Expert Member
Joined
Sep 27, 2011
Posts
358
Reaction score
221
wakuu vipi mimi ni kijana mwenye bahati ya kupendwa na mke wa mtu ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya TBL.
ukweli wa mungu ananipenda sana.maana nampa mapenzi ambayo yeye mwenyewe anadai hajawai na haamini kama atakuja kupata tena kwa mantiki hiyo amekuwa akinihonga pesa nyingi sana kila wiki.
lakini kwa sasa amepunguza kunipa pesa anadai kuna mipango mizuri na ma suprise kubwa sana anataka kunifanyia ambayo itakuwa ya pesa nyingi mno.
kwa hiyo wiki ya tatu sasa sijapata pesa ni kawaida kupewa laki tatu kwa wiki hali hii imeanza kunikera kwa kweli.
naombeni ushauri wadau nimfanye nini huyu mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu
 
Kambaku nimeipenda hiyo, heee!! mbn watu wanapost nonsense, kijana jaribu kufind ur own life, huyo mama akijakuaga dunia utaishije? na wewe ukija kuoa mke wako utamtunzaje? jibu hayo maswali then ntatoa ushauri up on u.
 
Last edited by a moderator:
Hivi na ww ni mwanaume?
Kuna watu huwa hawaamini kama wanaweza kuanzisha thread ikachangiwa, sasa kwa kuwa hawana uwezo wa kuandika kitu cha maana basi hutunga hadithi za maudhi.
 
^^
Angalia isiwe suprise ya ARV box,,maana haya mambo yana gharama zake.
^^
 
wakuu vipi mimi ni kijana mwenye bahati ya kupendwa na mke wa mtu ambaye ni mfanyakazi wa kampuni ya TBL.
ukweli wa mungu ananipenda sana.maana nampa mapenzi ambayo yeye mwenyewe anadai hajawai na haamini kama atakuja kupata tena kwa mantiki hiyo amekuwa akinihonga pesa nyingi sana kila wiki.
lakini kwa sasa amepunguza kunipa pesa anadai kuna mipango mizuri na ma suprise kubwa sana anataka kunifanyia ambayo itakuwa ya pesa nyingi mno.
kwa hiyo wiki ya tatu sasa sijapata pesa ni kawaida kupewa laki tatu kwa wiki hali hii imeanza kunikera kwa kweli.
naombeni ushauri wadau nimfanye nini huyu mpenzi wangu ambaye ni mke wa mtu

Mi huwa sielewagi mwanaume anaehongwa na mwanamke na mwanamke anaehonga meanaume.. Wote ovyooo!... Get a life!
 
Hivi na ww ni mwanaume?
Kuna watu huwa hawaamini kama wanaweza kuanzisha thread ikachangiwa, sasa kwa kuwa hawana uwezo wa kuandika kitu cha maana basi hutunga hadithi za maudhi.

mkeo nini
 
Kambaku nimeipenda hiyo, heee!! mbn watu wanapost nonsense, kijana jaribu kufind ur own life, huyo mama akijakuaga dunia utaishije? na wewe ukija kuoa mke wako utamtunzaje? jibu hayo maswali then ntatoa ushauri up on u.

mimi sitaoa ntawasaidia nyie mnaooa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom