Mke wa mtu haibiwi

Mke wa mtu haibiwi

"Nna mengi kuhusu hawa viumbe siwezi sema yote ila kwa kifupi nawachukia sana tena sana maovu yote hapa duniani wanasababisha wao wakishirikiana na Mungu"

Kuna watu wa aina moja tu wanachukia wanawake.
 
Umefika mbali mkuu
Kusema mtu kaibiwa au kamuiba mtu mwingine katika muktadha wa mke na mume wa mtu ni kualalisha ujinga, kusema mwanake ni dhaifu ndo mana anaweza kuibiwa hizo ni inferiority complex walizokuwa nazo kipindi cha zama za mawe hambazo hazina mantic yoyote kwenye dunia ya sasa. Mwanaume anatongoza ila si kila mwanaume anayemtongoza mwanamke, Mwanamke huyo akubali. Kwanini utongoze mke wa mtu huku unajua ni mke wa mtu na mke wa mtu kwanini ukubali ukitongozwa wakati unajua kuwa ni mke wa mtu.
 
Kwani mnabishana nini hapa wakuu?
 
Ufafanuzi mkuu jinsi wanavyoshirikiana na Mungu,hapo sijaelewa msaada wako tafadhali
 
Kusema mtu kaibiwa au kamuiba mtu mwingine katika muktadha wa mke na mume wa mtu ni kualalisha ujinga, kusema mwanake ni dhaifu ndo mana anaweza kuibiwa hizo ni inferiority complex walizokuwa nazo kipindi cha zama za mawe hambazo hazina mantic yoyote kwenye dunia ya sasa. Mwanaume anatongoza ila si kila mwanaume anayemtongoza mwanamke, Mwanamke huyo akubali. Kwanini utongoze mke wa mtu huku unajua ni mke wa mtu na mke wa mtu kwanini ukubali ukitongozwa wakati unajua kuwa ni mke wa mtu.
Agiza nakuja kulipiq
 
Kuna demu mmoja wa mtu namfukuzia naona ananiletea mashauzi ila nitamla tu
 
Habari mkuu, naomba nipingane na wewe kidogo.
Tunaposema mke wa mtu anaibwa tuna maana ya kuwa... mwanamke ni kiumbe dhaifu ambaye kwa ushawishi wa mwanaume hawez kuruka viunzi vyote, atalaghaiwa kila mbinu mpk anaingia kwenye line.

Mwanamke yeyote ukimpania unampata......

Ktk tamaduni zetu za kiafrika, mwanaume ndye humtongoza mwanamke, hvyo mke wa mtu anatongozwa na kulaghaiwa mpk anakubali

Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu, unaanza kumpigia misele.... hivyo mwenye kosa ni mwanaume.

Mwanaume ndye huchepuka kwa hiyari kwa sababu hatongozwi, anatongoza yeye.

NIMEMALIZA
Napingana na wewe kabisa kwamba mwanamke yeyote ukimpania unampata

Kuna wanawake wenye misimamo na ndoa zao au na uchumba wao.
Ukiona mke wa mtu kakubalia, basi jua mwanaume wake ndio kasababisha au huyo mwanamke ni tabia yake.
Wanawake wenye akili wapo ila ni wachache!
Changamoto zako kwenye mapenzi zisikufanye uwachafue wanawake wote
 
Back
Top Bottom