Mke wa mtu haibiwi

Mke wa mtu haibiwi

Unaonekana unauchungu sana ndani yako ambao hautakusaidia chochote zaidi ya kukupa kiungulia unapokutana na maswala ya hao viumbe jifunze Kusamehe na kusonga mbele
Mpaka kufika hapa nimeshasamehe ndio maana nimetoa eagle
 
Habari mkuu, naomba nipingane na wewe kidogo.
Tunaposema mke wa mtu anaibwa tuna maana ya kuwa... mwanamke ni kiumbe dhaifu ambaye kwa ushawishi wa mwanaume hawez kuruka viunzi vyote, atalaghaiwa kila mbinu mpk anaingia kwenye line.

Mwanamke yeyote ukimpania unampata......

Ktk tamaduni zetu za kiafrika, mwanaume ndye humtongoza mwanamke, hvyo mke wa mtu anatongozwa na kulaghaiwa mpk anakubali

Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu, unaanza kumpigia misele.... hivyo mwenye kosa ni mwanaume.

Mwanaume ndye huchepuka kwa hiyari kwa sababu hatongozwi, anatongoza yeye.

NIMEMALIZA
Kuna wake za watu wanajilengesha wenyewe...hawa nao utasemaje?
 
Mkuu huwez kupambana na asili, mwanamke ni kiumbe dhaifu kuliko mwanaume.... ktk utashi na kila kitu.

Jinsia haziwez kuwa sawa kwa kila kitu, mwanamke ameumbwa kutokana na mwanaume.....

Mke wa mtu anashawishiwa ila mume wa mtu hashawishiwi... anashawishi
Nonsense
 
Maisha halisi yapi mzee? Kwa hiyo unataka kujfananisha na mwanamke? Nimekuuliza, anayetongozwa ni mwanamke au mwanaume? Hv unajua kuwa mwanamke ukimtongoza bila kukata tamaa unampata?
Nonsense....unaishi dunia ipi wewe?umekariri vibaya......kutongozwa siyo lazima akutamkie acha ubwege...wanawake wanatumia lugha za vitendo wakikutaka...kama ukiwa boya kama wewe huwezi elewa
 
Mkuu wanashirikiana na Mungu katika jambo lipi haswa...??/ naomba utujuze
 
Mtoa Post ukikua utaelewa. Wanawake ni tofauti na uwafikiriavyo.

Wanaibiwa Coz wanadanganywa
 
hata ibilisi anaweza tupia thread humu.....na uzi ukaendelea...
 
Habari mkuu, naomba nipingane na wewe kidogo.
Tunaposema mke wa mtu anaibwa tuna maana ya kuwa... mwanamke ni kiumbe dhaifu ambaye kwa ushawishi wa mwanaume hawez kuruka viunzi vyote, atalaghaiwa kila mbinu mpk anaingia kwenye line.

Mwanamke yeyote ukimpania unampata......

Ktk tamaduni zetu za kiafrika, mwanaume ndye humtongoza mwanamke, hvyo mke wa mtu anatongozwa na kulaghaiwa mpk anakubali

Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu, unaanza kumpigia misele.... hivyo mwenye kosa ni mwanaume.

Mwanaume ndye huchepuka kwa hiyari kwa sababu hatongozwi, anatongoza yeye.

NIMEMALIZA
Sio kweli.

Mwanamke ana uwezo wa kuchomoa.
 
Mtoa Post ukikua utaelewa. Wanawake ni tofauti na uwafikiriavyo.

Wanaibiwa Coz wanadanganywa
Hawadanganywi mkuu, ukiona kakubali kakuelewa wala hujamdanganya koo ata usingesema wewe angesema yeye
 
Back
Top Bottom