Mke wa mtu haibiwi

Mke wa mtu haibiwi

Mkuu huwez kupambana na asili, mwanamke ni kiumbe dhaifu kuliko mwanaume.... ktk utashi na kila kitu.

Jinsia haziwez kuwa sawa kwa kila kitu, mwanamke ameumbwa kutokana na mwanaume.....

Mke wa mtu anashawishiwa ila mume wa mtu hashawishiwi... anashawishi
Hao sio viumbe dhaifu labda kama umeamua kuwatetea tu kumbuka sasa ni haki sawa

Wanawake wa zamani ndio walikua dhaifu maana waliwekwa nyuma kwene kila kitu kuanzia elimu ambayo ndo nguzo muhimu
 
acha kuishi kwa kukariri mkuu zungumzia maisha halisi
Mkuu huwez kupambana na asili, mwanamke ni kiumbe dhaifu kuliko mwanaume.... ktk utashi na kila kitu.

Jinsia haziwez kuwa sawa kwa kila kitu, mwanamke ameumbwa kutokana na mwanaume.....

Mke wa mtu anashawishiwa ila mume wa mtu hashawishiwi... anashawishi
 
Maisha halisi yapi mzee? Kwa hiyo unataka kujfananisha na mwanamke? Nimekuuliza, anayetongozwa ni mwanamke au mwanaume? Hv unajua kuwa mwanamke ukimtongoza bila kukata tamaa unampata?
unaongelea maisha ya kwene season mkuu zungumzia maisha halisi
 
Ndio maana mimi nimemwambia azungumzie maisha halisi sio ya kwene season za kikorea
 
Huwa sikubaliani kabisa na kauli ya kusema jamaa kaiba mke wa mtu,au mtu fulani kaiba mke wa fulani, huwa naona iyo kauli na kauli za aina iyo zinakosewa sana

How come mtu mzima na akili zake anaibiwa? Mwanamke akichepuka na mtu mwingine anakua kaamua tu yeye mwenyewe na akili zake timamu hajaibiwa kama mnavodai

Kuna siku nilikuta wanampiga mzee fulani wa makamo kwa kudai ameiba mke wa mtu, to be honest niliumia sana kwa kitendo kile maana mi nnavojua wanawake nao binadamu wana akili hawawezi kuibiwa kama nyanya sokoni koo ukiona kachepuka jua ameamua

Afu hivi iyo kauli ya kuibwa wanawake huwa mnaichukuliaje? ni kauli flani inawadharirisha yaani nyie hamna tofauti na nyanya sokoni

Wanawake wote wale wale mwalimu wao mmoja koo ukimfumania usimkazie jamaa achana nae kiroho njema usikute mke wako ndio alimtongoza jamaa na mazingira ya kuliwa kayatengeneza yeye

Nna mengi kuhusu hawa viumbe siwezi sema yote ila kwa kifupi nawachukia sana tena sana maovu yote hapa duniani wanasababisha wao wakishirikiana na Mungu

Unaonekana unauchungu sana ndani yako ambao hautakusaidia chochote zaidi ya kukupa kiungulia unapokutana na maswala ya hao viumbe jifunze Kusamehe na kusonga mbele
 
Huwa sikubaliani kabisa na kauli ya kusema jamaa kaiba mke wa mtu,au mtu fulani kaiba mke wa fulani, huwa naona iyo kauli na kauli za aina iyo zinakosewa sana

How come mtu mzima na akili zake anaibiwa? Mwanamke akichepuka na mtu mwingine anakua kaamua tu yeye mwenyewe na akili zake timamu hajaibiwa kama mnavodai

Kuna siku nilikuta wanampiga mzee fulani wa makamo kwa kudai ameiba mke wa mtu, to be honest niliumia sana kwa kitendo kile maana mi nnavojua wanawake nao binadamu wana akili hawawezi kuibiwa kama nyanya sokoni koo ukiona kachepuka jua ameamua

Afu hivi iyo kauli ya kuibwa wanawake huwa mnaichukuliaje? ni kauli flani inawadharirisha yaani nyie hamna tofauti na nyanya sokoni

Wanawake wote wale wale mwalimu wao mmoja koo ukimfumania usimkazie jamaa achana nae kiroho njema usikute mke wako ndio alimtongoza jamaa na mazingira ya kuliwa kayatengeneza yeye

Nna mengi kuhusu hawa viumbe siwezi sema yote ila kwa kifupi nawachukia sana tena sana maovu yote hapa duniani wanasababisha wao wakishirikiana na Mungu

Unaonekana unauchungu sana ndani yako ambao hautakusaidia chochote zaidi ya kukupa kiungulia unapokutana na maswala ya hao viumbe jifunze Kusamehe na kusonga mbele
 
Back
Top Bottom