Mke wa mtu haibiwi

Mke wa mtu haibiwi

maji ya gundu

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
3,096
Reaction score
4,758
Huwa sikubaliani kabisa na kauli ya kusema jamaa kaiba mke wa mtu,au mtu fulani kaiba mke wa fulani, huwa naona iyo kauli na kauli za aina iyo zinakosewa sana

How come mtu mzima na akili zake anaibiwa? Mwanamke akichepuka na mtu mwingine anakua kaamua tu yeye mwenyewe na akili zake timamu hajaibiwa kama mnavodai

Kuna siku nilikuta wanampiga mzee fulani wa makamo kwa kudai ameiba mke wa mtu, to be honest niliumia sana kwa kitendo kile maana mi nnavojua wanawake nao binadamu wana akili hawawezi kuibiwa kama nyanya sokoni koo ukiona kachepuka jua ameamua

Afu hivi iyo kauli ya kuibwa wanawake huwa mnaichukuliaje? ni kauli flani inawadharirisha yaani nyie hamna tofauti na nyanya sokoni

Wanawake wote wale wale mwalimu wao mmoja koo ukimfumania usimkazie jamaa achana nae kiroho njema usikute mke wako ndio alimtongoza jamaa na mazingira ya kuliwa kayatengeneza yeye

Nna mengi kuhusu hawa viumbe siwezi sema yote ila kwa kifupi nawachukia sana tena sana maovu yote hapa duniani wanasababisha wao wakishirikiana na Mungu
 
Mmmh unashida mahari mkuu pole sana....kwamba sisi ndo tunaleta matatizo duniani tukishilikiana na Mungu hahahahaha
 
ungeuliza kistaarabu as hivo ningekusaidia tatizo lako unaonesha hutaki kujifunza
sikuuliza yale yalikuwa ni maoni, je mkuu unapotoa post hupendi kuulizwa ama kukosolewa? sababu hawa wanawake ni mama zetu na pia ni watoto zetu na dada zetu dhumuni nilitaka kujua point yako.
 
Habari mkuu, naomba nipingane na wewe kidogo.
Tunaposema mke wa mtu anaibwa tuna maana ya kuwa... mwanamke ni kiumbe dhaifu ambaye kwa ushawishi wa mwanaume hawez kuruka viunzi vyote, atalaghaiwa kila mbinu mpk anaingia kwenye line.

Mwanamke yeyote ukimpania unampata......

Ktk tamaduni zetu za kiafrika, mwanaume ndye humtongoza mwanamke, hvyo mke wa mtu anatongozwa na kulaghaiwa mpk anakubali

Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu, unaanza kumpigia misele.... hivyo mwenye kosa ni mwanaume.

Mwanaume ndye huchepuka kwa hiyari kwa sababu hatongozwi, anatongoza yeye.

NIMEMALIZA
Huwa sikubaliani kabisa na kauli ya kusema jamaa kaiba mke wa mtu,au mtu fulani kaiba mke wa fulani, huwa naona iyo kauli na kauli za aina iyo zinakosewa sana

How come mtu mzima na akili zake anaibiwa? Mwanamke akichepuka na mtu mwingine anakua kaamua tu yeye mwenyewe na akili zake timamu hajaibiwa kama mnavodai

Kuna siku nilikuta wanampiga mzee fulani wa makamo kwa kudai ameiba mke wa mtu, to be honest niliumia sana kwa kitendo kile maana mi nnavojua wanawake nao binadamu wana akili hawawezi kuibiwa kama nyanya sokoni koo ukiona kachepuka jua ameamua

Afu hivi iyo kauli ya kuibwa wanawake huwa mnaichukuliaje? ni kauli flani inawadharirisha yaani nyie hamna tofauti na nyanya sokoni

Wanawake wote wale wale mwalimu wao mmoja koo ukimfumania usimkazie jamaa achana nae kiroho njema usikute mke wako ndio alimtongoza jamaa na mazingira ya kuliwa kayatengeneza yeye

Nna mengi kuhusu hawa viumbe siwezi sema yote ila kwa kifupi nawachukia sana tena sana maovu yote hapa duniani wanasababisha wao wakishirikiana na Mungu
 
sikuuliza yale yalikuwa ni maoni, je mkuu unapotoa post hupendi kuulizwa ama kukosolewa? sababu hawa wanawake ni mama zetu na pia ni watoto zetu na dada zetu dhumuni nilitaka kujua point yako.
Tatizo ni njia ulotumia kuwasilisha maoni yako
 
Hao sio viumbe dhaifu labda kama umeamua kuwatetea tu kumbuka sasa ni haki sawa

Wanawake wa zamani ndio walikua dhaifu maana waliwekwa nyuma kwene kila kitu kuanzia elimu ambayo ndo nguzo muhimu
Habari mkuu, naomba nipingane na wewe kidogo.
Tunaposema mke wa mtu anaibwa tuna maana ya kuwa... mwanamke ni kiumbe dhaifu ambaye kwa ushawishi wa mwanaume hawez kuruka viunzi vyote, atalaghaiwa kila mbinu mpk anaingia kwenye line.

Mwanamke yeyote ukimpania unampata......

Ktk tamaduni zetu za kiafrika, mwanaume ndye humtongoza mwanamke, hvyo mke wa mtu anatongozwa na kulaghaiwa mpk anakubali

Mtu unajua kabisa huyu ni mke wa mtu, unaanza kumpigia misele.... hivyo mwenye kosa ni mwanaume.

Mwanaume ndye huchepuka kwa hiyari kwa sababu hatongozwi, anatongoza yeye.

NIMEMALIZA
 
Back
Top Bottom