maji ya gundu
JF-Expert Member
- Oct 7, 2018
- 3,096
- 4,758
Huwa sikubaliani kabisa na kauli ya kusema jamaa kaiba mke wa mtu,au mtu fulani kaiba mke wa fulani, huwa naona iyo kauli na kauli za aina iyo zinakosewa sana
How come mtu mzima na akili zake anaibiwa? Mwanamke akichepuka na mtu mwingine anakua kaamua tu yeye mwenyewe na akili zake timamu hajaibiwa kama mnavodai
Kuna siku nilikuta wanampiga mzee fulani wa makamo kwa kudai ameiba mke wa mtu, to be honest niliumia sana kwa kitendo kile maana mi nnavojua wanawake nao binadamu wana akili hawawezi kuibiwa kama nyanya sokoni koo ukiona kachepuka jua ameamua
Afu hivi iyo kauli ya kuibwa wanawake huwa mnaichukuliaje? ni kauli flani inawadharirisha yaani nyie hamna tofauti na nyanya sokoni
Wanawake wote wale wale mwalimu wao mmoja koo ukimfumania usimkazie jamaa achana nae kiroho njema usikute mke wako ndio alimtongoza jamaa na mazingira ya kuliwa kayatengeneza yeye
Nna mengi kuhusu hawa viumbe siwezi sema yote ila kwa kifupi nawachukia sana tena sana maovu yote hapa duniani wanasababisha wao wakishirikiana na Mungu
How come mtu mzima na akili zake anaibiwa? Mwanamke akichepuka na mtu mwingine anakua kaamua tu yeye mwenyewe na akili zake timamu hajaibiwa kama mnavodai
Kuna siku nilikuta wanampiga mzee fulani wa makamo kwa kudai ameiba mke wa mtu, to be honest niliumia sana kwa kitendo kile maana mi nnavojua wanawake nao binadamu wana akili hawawezi kuibiwa kama nyanya sokoni koo ukiona kachepuka jua ameamua
Afu hivi iyo kauli ya kuibwa wanawake huwa mnaichukuliaje? ni kauli flani inawadharirisha yaani nyie hamna tofauti na nyanya sokoni
Wanawake wote wale wale mwalimu wao mmoja koo ukimfumania usimkazie jamaa achana nae kiroho njema usikute mke wako ndio alimtongoza jamaa na mazingira ya kuliwa kayatengeneza yeye
Nna mengi kuhusu hawa viumbe siwezi sema yote ila kwa kifupi nawachukia sana tena sana maovu yote hapa duniani wanasababisha wao wakishirikiana na Mungu
