Kuna Jamaa kwenye Daladala hapa, alikuwa anaongea na cm "Haloo leo sitaweza kuja nimepanda gari moja na Mmeo" unaambiwa Wanaume wote wenye wake wamemng'ang'ania aoneshe hiyo no aliyo kuwa anaongea nayo"
Nimecheka utafikiri mazurKuna Jamaa kwenye Daladala hapa, alikuwa anaongea na cm "Haloo leo sitaweza kuja nimepanda gari moja na Mmeo" unaambiwa Wanaume wote wenye wake wamemng'ang'ania aoneshe hiyo no aliyo kuwa anaongea nayo"