Mke wa mtu aning’ang’ania

Mke wa mtu aning’ang’ania

cheeter

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2011
Posts
475
Reaction score
155
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
 
We nadhani wanawake hujawajua Vema.. Kama naweza kukupa papuchi na yuko na mumewe..
Atashindwa nini kampatia papuchi mwingne ukiwa Nae?
Lakini pia kama anaweza kumwacha mumewe Atashindwa nn kukuachaa?
Huyo ni mlaya kama; Malaya wengine.. Tofauti kajificha kwenye kichaka kinachoitwa Mume.
Nawasilisha.
 
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.
Ikiwa bado mumewe ana mapenzi ya dhati na mkewe tegemea haya mawili

1. Kuwindwa na ukajapatikana marinda yanaachana na wewe
2. Kuwindwa na ukijapatikana roho kuachana na mwili wako.

La sivyo acha kufanya mambo ya kijinga. Sema umedate na mke wa mtu baada ya wewe kukimbiwa na mkeo kwa sababu hizi hizi unazoziendekeza mpaka sasa
 
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.

Kahaba mkubwa wewe.
Unanataka tukushauri jinsi ya kumchukua mke wa mtu? Sikupi ushauri wowote zaidi ya kukuambia achahiyo tabia.

Tabia zako ndizo zilizomshinda mke wako, na tabia za huyo ndizo zinazomshanda mumewe.
 
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.


Una miaka 36, bado unawaza haya mkuu? Hapo huyu mama hajaknug'ang'ania, ila uzinzi wenu. Huyu ni Mke wa sku ukishikwa kuna kushikishwa ukuta...
 
Habari zenu humu ndani,bila shaka wote humu wazima.Mimi ni kijana mwenye umri 36,ni mfanyakazi wa taasisi ya uma.Ndoa yangu ilinishinda muda mrefu sana kutokana na makwazo ya wanawake zetu.nilishindwa kuvumilia na nikaachana na mke wangu.Hivyobasi katika kuishi maisha ya u bachelor nikiwa kazini nikawa karibu sana na mdada ambaye alikua ananielezea shida anazozipata kwenye ndoa yake.Mwisho wa siku nilimfariji na tukawa marafiki wakubwa mpaka leo natoka naye.Ananipenda kupita maelezo.na mimi kwa kweli nampenda jinsi anavyo care.ameniahidi yuko tayari aachane na mme wake ili tuishi wote.naombeni ushauri wenu wadau,nifanyaje ili niishi na huyu mke wa mtu.

Ahaaa haaaa haaaa, Mzee ndio maana ndoa ilikushinda aseeee ... nikukumbushe tu, ukioa alafu ukaachika hautwi bachela arif, nafikiri lazima kuna jina lenu jingine mtakuwa mmepewa.

Bachelor - A man who is not and has never been married.
 
Back
Top Bottom