Nawe Papitie mara mbilimbili hapo juu sio unamshauri mwenzio tu.
Usije sema Shetani amekupitia siku hiyo.
Angalia malipizi mengine hayana baraka za Bwana. Hivi ya Kaisari utampa lini Kaisari?
Hahahaha hata ukinitisha lazima nilipize!
Hehehehe aisee......umenikumbusha enzi za mwalimu!
Nami nazungumzia enzi hizi za Zito Kabwe. Hivi unajua dawa ya deni ni nini?
Kufanyiwa umafia
Kufanyiwa roho mbaya
Kufanyiwa mtima nyongo
Kufanyiwa unoko
Kuletewa noma ile kinoma
Unatembelea tairi vipara unamsingizia dada wa watu. Angetaka kukufanyizia angekiwasha moto hicho kigereti chako aone utavyosota na ma3 hadi mkopo wa saccoss upitishwe!
Wewe si Msemaovyo? Sasa kesho ukifika ofisini anza kumsemeaovyo mpaka atubu. . .