Mke wa mtu anasema eti ana mimba yangu.

Mke wa mtu anasema eti ana mimba yangu.

Mkuu, wenzio kama hawana advice yoyote ktk thread kama hzi.. huwa wanatulia kuliko kumkejeri mtu namna hii
 
SWALI LA KIMAKINIA,inakuwaje utembee na mke wa mtu!!!
SWALI LA KICHENJUAJI,Inakuwaje unatembea na mke wa mtu bila kondom!!!
SWALI LA KIMIKATABA,Inakuwaje unampa mimba mke wa mtu??!!!!
[emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji2]
 
Yaan wewe na yule Jamaaa wa hyo mwanamke aleyakataa hyo mimba ninyi nyote hampaswi kusimamia majukum ya familia
 
kama unataka kuvuruga hiyo ndoa, kafuate huyo mtoto akizaliwa. Niliwahi kuandika kuhusu wanaume wengi kulea watoto wasio wa kwao. Wakajibu Kitanda hakizai haramu. Nadhani jibu umepata
 
potezea tu mkuu ukifatilia sana mwenye mke atagundua na akijua maisha yako kama mwanaume yatakua hatiani.... bado sperm unazo za kutosha tafuta mtoto mwngne mahali pengine halafu dgo muache azaliwe akue huku unamu watch from distance.... be an incognito father
 
kwa kuwa baba wa kikatiba/mkataba wa mimba hiyo kaikubali (nikiwa na imani atakuwa baba mzuri)

1. Kata mawasiliano na huyo dada

2. kama inawezekana hama hapo unapokaa

NB: Sio kwamba natetea kukimbia majukumu ya ulezi lakini naamini huyo mtoto atakapozaliwa atakuwa na hali bora kisaikolojia n.k kama wewe hautajulikana.
 
Mtoto atakutambua tu umri wake ukifika, wewe kama hujajulikana mpaka sasa una bahati sana. Kaa mbali na hiyo familia yao.

Halafu kuna Ukakasi mahali, isije kuwa huyo mwanamke anakupimia tuu mwanaume kweli akwambie katoe mimba ndo tuendelee kuishi???? Wakati huo huo kaja kwako na akalala???? Wakati alikuwa anakuja kwako kukaa siku tatu mumewe anakuwa wapi???
Kama ni December mpaka leo mimba ni kubwa basi miezi saba hiyo sasa, je unawezaje kutoa mimba ya miezi saba kwenye jamii ya leo????

Hapo naona kuna kauongo fulani au alitaka hela kutoka kwako na mimba ni ya mumewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom