Mke wa Mtu ananitaka

Mwambie awe anakutumia sms badala ya kukupigia, kwani ofisi yenu hairuhusu kupokea simu mara kwa mara ukiwa ofisini, halafu wewe mchunie usijibu sms zake, akija "kulibumbulua" hizo sms zake ndio utakuwa ushahidi wako.
 
[video]http://www.eastafricantube.com/media/10191/Ze_comedy_-mke_wa_mtu_ni_sumu/[/video]
Mkuu balntanda umenikumbusha mbali sana. Enzi hizo alhamisi jioni kukiwa na foleni natamani ningekua na TV kwenye gari
 
Mwambie awe anakutumia sms badala ya kukupigia, kwani ofisi yenu hairuhusu kupokea simu mara kwa mara ukiwa ofisini, halafu wewe mchunie usijibu sms zake, akija "kulibumbulua" hizo sms zake ndio utakuwa ushahidi wako.
Mazee!
Wamfunza mwenzio "BLACKMAILING FOR BEGINNERS"!
 
type hiyo nilikwisha kutana nazo nikiwa bachelor na hata baada ya kuoa. Kwa uzoefu wangu, fanya yafuatayo: 1. usiwe na muda wa kuongea naye - salamu inatosha; 2. akitaka kuongeza muda wa maongezi na mada zake, wewe mwambie huko busy; 3. kuhusu kununua beer, mwambi glabal financial crisis ime-hit hata kwenye wallet yako hata kama kila siku unachana kuku! 4. mara manapoongea naye, sifia mkeo tu, halafu ongelea kuhusu ndoa yako na kuchukia kwenda nje ya ndoa - kama wewe ni mkristu - ongelea dhambi na mambo ya Mbingu; 5. mwambie mkeo kuhusu jambo hilo mara moja na mkeo ndiye akamnunulie hizo bia; 6. ukikaa kimya na usi-service hiyo joint yake, atakuzushia tu na itakula kwako; 7. usitoke nje bila shati wala t-shirt, kwani yeye anaweza dhani wewe ni mchokozi; 8. acha kutaniana naye kabisa; 9. kama unaishi nyumba ya kupanga - ndivyo inavyoonyesha, pigana na maisha uwe na kibanda chako au hama huko! 10. kama anaazima vitu vya kwenu basi mwambie mwenye mamlaka yote ni mkeo kupitia kwa housegirl/ boy.

Naona kama hii story ni fictional kwa jinsi ulivyomalizia kwa kusema 'au ni mtukane nini'. Utamtukanaje mtu kaomba ofa ya bia, sasa matusi yako si ndio yatakuangamiza mwenyewe! Mimi umwambia mke wa mtu kuwa na ni kweli "sitoi offer kwa mke wa mtu" akamuombe offer mumewe!!!
 
naandika kilicho kweli nikijua kweli itaniweka huru; huyu mama ambaye ni jirani yangu hapa ninapoishi kweli simuelewi kabsaa. Kila kukicha simu haziishi na hasa anataimu mida ambayo nipo kazini akijua kuwa waifu hatajua na mumewe hatajua. Kinachoniuma zaidi ni kuona jinsi jamaa yake anavyompenda na tunavyoheshimiana. Nimejaribu kumweleza hata jana nilimwambia kuwa si vizuri yeye anachotaka nikamnunulie bia, mimi si mlevi na sijawahi kunywa hata bia yenyewe lakini hanielewi.

Nilitaka nimwambie waifu, nikaona wanawake sometimes hawana dogo wala uvumilivu, nikataka nimwambie jamaa mwenye mali yake, nikaona kwa mazingira ya kawaida hatanielewa ataona tu mie ndo namtaka mkewe, lakini pia nataka nijaribu kuwaeleza ndugu zangu kwani sitaki kuvunja wala kuvunjiwa nyumba yangu! Je nimtukane?

Naombeni msaada wenu

nafikiri unajua mke wa mtu akikutaka you know what to do nafikiri majibu utakuwanayo kuwa kama ni sahihi ama si sahihi vile vile ni kitu rahisi tu kata mawasiliano naye thats it
 
type hiyo nilikwisha kutana nazo nikiwa bachelor na hata baada ya kuoa. Kwa uzoefu wangu, fanya yafuatayo: 1. usiwe na muda wa kuongea naye - salamu inatosha; 2. akitaka kuongeza muda wa maongezi na mada zake, wewe mwambie huko busy; 3. kuhusu kununua beer, mwambi glabal financial crisis ime-hit hata kwenye wallet yako hata kama kila siku unachana kuku! 4. mara manapoongea naye, sifia mkeo tu, halafu ongelea kuhusu ndoa yako na kuchukia kwenda nje ya ndoa - kama wewe ni mkristu - ongelea dhambi na mambo ya Mbingu; 5. mwambie mkeo kuhusu jambo hilo mara moja na mkeo ndiye akamnunulie hizo bia; 6. ukikaa kimya na usi-service hiyo joint yake, atakuzushia tu na itakula kwako; 7. usitoke nje bila shati wala t-shirt, kwani yeye anaweza dhani wewe ni mchokozi; 8. acha kutaniana naye kabisa; 9. kama unaishi nyumba ya kupanga - ndivyo inavyoonyesha, pigana na maisha uwe na kibanda chako au hama huko! 10. kama anaazima vitu vya kwenu basi mwambie mwenye mamlaka yote ni mkeo kupitia kwa housegirl/ boy.

Naona kama hii story ni fictional kwa jinsi ulivyomalizia kwa kusema 'au ni mtukane nini'. Utamtukanaje mtu kaomba ofa ya bia, sasa matusi yako si ndio yatakuangamiza mwenyewe! Mimi umwambia mke wa mtu kuwa na ni kweli "sitoi offer kwa mke wa mtu" akamuombe offer mumewe!!!

It is the best ever
 
mbona huyo mtu anataka beer hakutaki wewe? tatizo mnapeleka mawazo yenu kucko bure.
 
Huyu mama ambaye ni jirani yangu hapa ninapoishi kweli simuelewi kabsaa. Kila kukicha simu haziishi na hasa anataimu mida ambayo nipo kazini akijua kuwa waifu hatajua na mumewe hatajua. Nimejaribu kumweleza hata jana nilimwambia kuwa si vizuri yeye anachotaka nikamnunulie bia, mimi si mlevi na sijawahi kunywa hata bia yenyewe lakini hanielewi.
naombeni msaada wenu

Huyo ni shetani......mkimbie kwa miguu miwili!
 
... je nimtukane?

naombeni msaada wenu


wala usimtukane. usipokee simu zake wala usijibu msg zake na ukikutana naye msalimie kwa heshima. staha utakayotumia itaishinda ufedhuli wake na atakuheshimu tu. aidha usidiriki kumwambia yfuyo au mumewe kwani taarifa kama hiyo inaweza kutumika dhidi yako kwa namna yoyote ( kama polisi wanavyotahadharisha wanaowahoji).
 
nibip nikupe namba yake fasta, wala hana bei....bia tu....tatizo ni implication yake
 
Back
Top Bottom